Habari Jf nina mpenzi wangu mlokole tunatarajia kufunga ndoa huu mwaka lakini ana tabia zake ambazo zinanichanganya sana asee huko kanisani kwao, yaani anamheshimu sana mchungaji wake kuriko mimi mumewe mtarajiwa ananichanganya sana maana yule mchimgaji noana kama ananigongea mke wangu sasa nataka niforce aache mambo yake ya kuokoka ikibidi akizingu naachana nae maana yeye anaona mchungani bora kuriko mimi kitu kidogo mchungaji hadi anazingua yaani hawa walokole jau sana katika mapenzi unaweza gongewa sana na mchungaji ukiwa nao maana hana heshima kabisa namimi mumewe inauma sana. [emoji24][emoji24][emoji24]
Habari Jf nina mpenzi wangu mlokole ......
. . ... anamheshimu sana mchungaji wake .....kuriko.... mimi mumewe mtarajiwa ananichanganya....... yule.... mchimgaji..... noana kama ...ananigongea mke..... anaona mchungani bora ... kuriko... mimi ........ jau sana katika mapenzi unaweza gongewa sana. [emoji24][emoji24][emoji24]
Hiyo ni dhahiri unagongewaHabari Jf nina mpenzi wangu mlokole tunatarajia kufunga ndoa huu mwaka lakini ana tabia zake ambazo zinanichanganya sana asee huko kanisani kwao, yaani anamheshimu sana mchungaji wake kuriko mimi mumewe mtarajiwa ananichanganya sana maana yule mchimgaji noana kama ananigongea mke wangu sasa nataka niforce aache mambo yake ya kuokoka ikibidi akizingu naachana nae maana yeye anaona mchungani bora kuriko mimi kitu kidogo mchungaji hadi anazingua yaani hawa walokole jau sana katika mapenzi unaweza gongewa sana na mchungaji ukiwa nao maana hana heshima kabisa namimi mumewe inauma sana. [emoji24][emoji24][emoji24]
Kumbe walokole wanataka tuuziq mbuz kweny gunia eh?tumeushtukia mchezohapana mkuu
Kuriko✖️ = Kuliko✔️inabidi anisikilize mimi na kuniheshimu kuriko huyo mchungaji wake
Mara useme ni mpenzi wako unatarajia kufunga nae ndoa ,mara useme hakuheshimu wewe mumewe,something must be wrong somewhere...Habari Jf nina mpenzi wangu mlokole tunatarajia kufunga ndoa huu mwaka lakini ana tabia zake ambazo zinanichanganya sana asee huko kanisani kwao, yaani anamheshimu sana mchungaji wake kuriko mimi mumewe mtarajiwa ananichanganya sana maana yule mchimgaji noana kama ananigongea mke wangu sasa nataka niforce aache mambo yake ya kuokoka ikibidi akizingu naachana nae maana yeye anaona mchungani bora kuriko mimi kitu kidogo mchungaji hadi anazingua yaani hawa walokole jau sana katika mapenzi unaweza gongewa sana na mchungaji ukiwa nao maana hana heshima kabisa namimi mumewe inauma sana. [emoji24][emoji24][emoji24]