Mpenzi wangu mlokole ananichanganya na tabia zake

Mpenzi wangu mlokole ananichanganya na tabia zake

Habari Jf nina mpenzi wangu mlokole tunatarajia kufunga ndoa huu mwaka lakini ana tabia zake ambazo zinanichanganya sana asee huko kanisani kwao, yaani anamheshimu sana mchungaji wake kuriko mimi mumewe mtarajiwa ananichanganya sana maana yule mchimgaji noana kama ananigongea mke wangu sasa nataka niforce aache mambo yake ya kuokoka ikibidi akizingu naachana nae maana yeye anaona mchungani bora kuriko mimi kitu kidogo mchungaji hadi anazingua yaani hawa walokole jau sana katika mapenzi unaweza gongewa sana na mchungaji ukiwa nao maana hana heshima kabisa namimi mumewe inauma sana. [emoji24][emoji24][emoji24]
Watu wengi walokole ndio Tabia zao hizo . Ila wanawake ndio walivyo kabisa. Wanashindwa kutenganisha mume na mchungaji yupo radhi atekeleze malengo ya mchungaji sio mume wake. Kuna challenge kubwa kuishi nao sio mchezo
 
Cjui tunashea dem mmoja au
N madem wetu wanamambo
Yanafanana Maana, dem wangu nae
Mambo yake kama huyo wako tu.

Juz, hapa cjui nlimfanya nn
Kidogo nkasikia amempgia
Mchungaj amuombee hana aman
 
Habari Jf nina mpenzi wangu mlokole tunatarajia kufunga ndoa huu mwaka lakini ana tabia zake ambazo zinanichanganya sana asee huko kanisani kwao, yaani anamheshimu sana mchungaji wake kuriko mimi mumewe mtarajiwa ananichanganya sana maana yule mchimgaji noana kama ananigongea mke wangu sasa nataka niforce aache mambo yake ya kuokoka ikibidi akizingu naachana nae maana yeye anaona mchungani bora kuriko mimi kitu kidogo mchungaji hadi anazingua yaani hawa walokole jau sana katika mapenzi unaweza gongewa sana na mchungaji ukiwa nao maana hana heshima kabisa namimi mumewe inauma sana. [emoji24][emoji24][emoji24]
Kama mlikutana church unadhani itakua rahisi kumtoa kwenye Imani yake?
 
Mkuu kwa uandishi huo mbona kama wewe ndio tatizo? mbona umeshindwa kueleza nini ni tatizo? nini anafanya? kwani ulimchumbia akiwa siyo mlokole? andika vyema jambo lako ili tuweze shauri vizuri ,
 
Mkuu kwa uandishi huo mbona kama wewe ndio tatizo? mbona umeshindwa kueleza nini ni tatizo? nini anafanya? kwani ulimchumbia akiwa siyo mlokole? andika vyema jambo lako ili tuweze shauri vizuri ,
tatizo ni kwamba aniheshimu mimi mchumba wake badala yake anaweka kanisa mbele kuriko mimi mumewe inanipa wasiwasi maana hawa wachungaji wetu nao sio poa
 
Watu wengi walokole ndio Tabia zao hizo . Ila wanawake ndio walivyo kabisa. Wanashindwa kutenganisha mume na mchungaji yupo radhi atekeleze malengo ya mchungaji sio mume wake. Kuna challenge kubwa kuishi nao sio mchezo
ntamnyoosha tu wait tuingie kwenye ndoa
 
Habari Jf nina mpenzi wangu mlokole tunatarajia kufunga ndoa huu mwaka lakini ana tabia zake ambazo zinanichanganya sana asee huko kanisani kwao, yaani anamheshimu sana mchungaji wake kuriko mimi mumewe mtarajiwa ananichanganya sana maana yule mchimgaji noana kama ananigongea mke wangu sasa nataka niforce aache mambo yake ya kuokoka ikibidi akizingu naachana nae maana yeye anaona mchungani bora kuriko mimi kitu kidogo mchungaji hadi anazingua yaani hawa walokole jau sana katika mapenzi unaweza gongewa sana na mchungaji ukiwa nao maana hana heshima kabisa namimi mumewe inauma sana. [emoji24][emoji24][emoji24]
Mambo gani amekufanyia huja yaweka wa ili tujue tuweze kukupa ushauri
 
Mambo gani amekufanyia huja yaweka wa ili tujue tuweze kukupa ushauri
ni hivi yaani kuna vitu unaweza mkataza asifanye lkn kwamba mchungaji kamwambia afanye basi hapo hawezi kabisa kukusikiliza wewe bora mchungaji
 
Back
Top Bottom