Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
M.Melo imefika wakati ufungue jamiiforum totoplus ili watoto kama hawa wapate fursa ya kujadiliana mambo yao ya kitoto kitoto,sifa za kujiunga kitambulisho cha shule ama chuo..ukikua utaelewa





Kama ni singo maza ni kawaida yao atakuganda hadi uone moto kuachana hadi mmoja anusurike kutoka roho
Hajaanza kukuuliza kama upo jikoni ugonge vijiko; kwa barabara upige honi...kwa daladala asikie sauti ya konda... kitandani ugeuke geuke asikie mlio wa kitanda chenu.kuhoji nipo wapi nafanya nini, kosa nikitaja sehemu mara huyo kaja kiukweli haielezeki, ananipa kero sana nishindwa kukaa sehemu hata na marafiki tu yeye anataka kila muda tugandane gandane.
piga chini. ukioa huyo ndiyo hao ambao hupelekesha wanaume mpaka unafika hatua unatenda kosa la jinai hata mauaji. jiepushie balaa mapemaHabari wakuu,
Nina mpenzi kwasasa ni mwaka mzima ila kwasasa sina raha kabisa ananiondolea furaha ya maisha.
Nikiwa nimekaa anapiga simu tunaongea anauliza nipo wapi dk 15 nyingi simu tena anauliza nipo wapi, nisipopokea simu message za malalamiko zitangia zaidi ya 20 hapo.
Basi bana nikipokea simu akisikia kelele anaanza kuhoji nipo wapi nafanya nini, kosa nikitaja sehemu mara huyo kaja kiukweli haielezeki, ananipa kero sana nishindwa kukaa sehemu hata na marafiki tu yeye anataka kila muda tugandane gandane.
Mapenzi yakipumbavu kama haya siyapendi kabisa, ananisumbua hivi tukianza kuishi pamoja sindoitakuwa shida hivi, na bora ungesema Umri mdogo anamiaka 30+ huko
Hahaha basi narekebisha kauli nakiri nilisema uongoUongoo