mambo ya nyakati
Senior Member
- Aug 24, 2022
- 115
- 144
Habari wakuu,
Nina mpenzi kwasasa ni mwaka mzima ila kwasasa sina raha kabisa ananiondolea furaha ya maisha.
Nikiwa nimekaa anapiga simu tunaongea anauliza nipo wapi dk 15 nyingi simu tena anauliza nipo wapi, nisipopokea simu message za malalamiko zitangia zaidi ya 20 hapo.
Basi bana nikipokea simu akisikia kelele anaanza kuhoji nipo wapi nafanya nini, kosa nikitaja sehemu mara huyo kaja kiukweli haielezeki, ananipa kero sana nishindwa kukaa sehemu hata na marafiki tu yeye anataka kila muda tugandane gandane.
Mapenzi yakipumbavu kama haya siyapendi kabisa, ananisumbua hivi tukianza kuishi pamoja sindoitakuwa shida hivi, na bora ungesema Umri mdogo anamiaka 30+ huko
Nina mpenzi kwasasa ni mwaka mzima ila kwasasa sina raha kabisa ananiondolea furaha ya maisha.
Nikiwa nimekaa anapiga simu tunaongea anauliza nipo wapi dk 15 nyingi simu tena anauliza nipo wapi, nisipopokea simu message za malalamiko zitangia zaidi ya 20 hapo.
Basi bana nikipokea simu akisikia kelele anaanza kuhoji nipo wapi nafanya nini, kosa nikitaja sehemu mara huyo kaja kiukweli haielezeki, ananipa kero sana nishindwa kukaa sehemu hata na marafiki tu yeye anataka kila muda tugandane gandane.
Mapenzi yakipumbavu kama haya siyapendi kabisa, ananisumbua hivi tukianza kuishi pamoja sindoitakuwa shida hivi, na bora ungesema Umri mdogo anamiaka 30+ huko