Subiri upate ambae ako opposite ndo utaelewa the first choice was the best choice,Habar wakuu,
Nina mpenzi kwasasa ni mwaka mzima ila kwasasa sina raha kabisa ananiondolea furaha ya maisha.
Nikiwa nimekaa anapiga simu tunaongea anauliza nipo wapi dk 15 nyingi simu tena anauliza nipo wapi, nisipopokea simu message za malalamiko zitangia zaidi ya 20 hapo.
Basi bana nikipokea simu akiskia kelele anaanza kuhoji nipo wapi nafanya nini, kosa nikitaja sehemu mara huyo kaja kiukweli haielezeki, ananipa kero sana nishindwe kukaa sehemu hata na marafiki tuh yeye anataka kila muda tugandane gandane.
Mapenzi yakipumbavu kama haya siyapendi kabisa, ananisumbua hivi tukianza kuishi pamoja sindoitakuwa shida hivi, na bora ungesema Umri mdogo anamiaka 30+ huko
Kisha amuoeMpe mimba.
Haya ya shule ya msingiMapenzi ya kutafutana kila baada ya dk 5 yanaboa,, utadhani hamna mambo mengine ya kufanya
Totoplus forum 😀M.Melo imefika wakati ufungue jamiiforum totoplus ili watoto kama hawa wapate fursa ya kujadiliana mambo yao ya kitoto kitoto,sifa za kujiunga kitambulisho cha shule ama chuo..ukikua utaelewa
Si umueleze vile unataka mkuu!!Mapenzi ya kutafutana kila baada ya dk 5 yanaboa,, utadhani hamna mambo mengine ya kufanya
Haelewek hajifunziSi umueleze vile unataka mkuu!!
Tatizo Umri! Kwahio umeamuaje??Haelewek hajifunzi
Umri 30+ huyu mtuTatizo Umri! Kwahio umeamuaje??
Kheee! Basi ndio nature yake mvuumilie ivoivo si unampenda!!Umri 30+ huyu mtu
Fata huu ushauri mleta mada utakuja kushukuru .Haumpi mchezo vizuri ndio maana. Huyo uwe unaandaa siku moja unavunja ratiba zote unapiga mzigo siku nzima then unasikilizia. Kwa wiki hakikisha labda siku mbili au moja ndio haupigi gemu. Utaona hiyo attention itakavyobadilika.