mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 924
- 2,293
- Thread starter
- #81
asante kwa ushauri mkuuSubiri Ndoa Mkuu Usiwe na Papara. Anakuhifadhia Huyo..!!
asante kwa ushauri mkuuSubiri Ndoa Mkuu Usiwe na Papara. Anakuhifadhia Huyo..!!
hahahaha unazngua mkuu haha
Huu ushauri uzingatie sana unajenga.Sikilza wewe sawa tafuta mwengne unaeweza kumla huyo muandae kwa ajili ya ndoa
Ukifika muda ukikuta hola rohoo haitauma sana
Huyu kijana nahisi hata sio wa mzumbe. Labda kaamua kupotray story basi.Kumbe yuko udsm soon watahamia hostel mpya pale mawasiliano tutakua tunapita kumuona mkwe wetu maana morogoro mbali kijana acha asome
hapana mzee... nmeanz ku date tang nipo form 2 ila nliachana nao wengi tu nlipitia...ila nlipodata kwa huyu ndo bac tena nkatulia nae..ss tatzo ndo vile no sex
sio bikra mkuu.. enz za o level nimewapitia sanaJamaa bado bikra, science ya hawa watu hajaielewa, atajifunza lakini.
mfyuuu tuma kwanza hela ndio niagizeOngeza beer ya pil nakuja kulipa
ahahahahahaDah.... Mbona kawaida sana....hujawahi kuona mwanaume anakula gengeni?
ahahahaha WTFAnhaaa kumbe UDSM mkuu, na mm nipo hapa, naomba Jina Lake na Kozi anayosoma ntakua nakusaidia kukupa ripoti za shemela kama hutojali
Huu ushauri uzingatie sana unajenga.
hahahhh ww mtu
na je ni kweli huyu binti anamaanisha au kuna wahuni wanamgonga huko?
braza mapenz sjui yapoje...nmepita kwa weng ila kwa huyu nlishndwa kumpotezea kabisa yan..had najishangaa hata washkaj wanashangaa maana hawakutegemea coz nlkuaga kiwembeUpumbavu ni kukaa Foleni ya kununua kitu Miaka kadhaa wakati vinapatikana bure bila ya foleni Maeneo Mengine
Wew kama umekula videsa vya Njovu..rock..binamungu..itika..msanjila huyo mtoto ageshafanyiwa yake vikenge . La sivyo wewe ni wa mzumbe secondary hapo juuhahaha so nikaushe tu mpaka ajistukie?
Huyu kijana nahisi hata sio wa mzumbe. Labda kaamua kupotray story basi.
Mkwe ndio ushauri wako huu kweli!!!Sikilza wewe sawa tafuta mwengne unaeweza kumla huyo muandae kwa ajili ya ndoa
Ukifika muda ukikuta hola rohoo haitauma sana
Lazima awe mchagga huyo. We muegeshe for marriage lakini tafuta kangoma kengine kakukadunda. Utakufa njaaa dogo.ahahahaha anazngua kuja ghetto asee... anasema ana save for marriage... anadhan nataka kumkaza na kumwacha... so huwa tuna meet kula good time town and kissing tu.. ila sio ghetto
na pesa hajawah kuniomba kabisa... mda wote anawaza marriage tu.. ingawa huwa mm mwnyw najiongeza kumtumia sometimes na vizawadi
mfyuuu tuma kwanza hela ndio niagize