Mpenzi wangu ananibania sex

Mpenzi wangu ananibania sex

piga hesabu vzr mkuu... form six kamaliza may 2016 chuo kaingia mwez wa 11 mwaka jana

labda kama ntakua nmekosea kuhesabu kidogo hio miaka..maana ni zamani..bt nlichosema ni ukweli mtupu
mimi ndio nipige au wewe!
mi si nimekuandikia hapo form 3-ian 2013, form 4-jan 2014, form 5-July 2015 -May 2016, form 6- July 2016 - May 2017.
labda kama ni hesabu za magazijuto!
 
Ha ha ha ha kwan mkwe mpka huku hua unafika?
Embu mshaur kwanza wewe halafu tuone kama nlikua mbali sana na ukwel
Mie nishamshauri.
Ila nashukuru nimepata jambo juu yako.
 
Wanaume wenzio wanatafuta pesa we unatafuta papuchi... Soma mdogo angu ukiwa na hela atakuja tu wala hatabana kiivyo
 
mimi ndio nipige au wewe!
mi si nimekuandikia hapo form 3-ian 2013, form 4-jan 2014, form 5-July 2015 -May 2016, form 6- July 2016 - May 2017.
labda kama ni hesabu za magazijuto!
yah i kweli mkuu nmekosea hapo... ilikua 2012 ndipo nilikua form 5 na yeye form 3... asante kwa kunikumbusha
 
Pole kwa hilo ndugu,lakini mapenzi ya dhati yanahitaji uvumilivu ,kama unampenda mvumilie mpaka atakapokuabali,ila nikushauri weka mguu moja ndani mwingine nje ili badae yakitokea usiyo yategemea uwe na uwezo kuyakabili vzr
 
Back
Top Bottom