Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Ana mlaje?
Jinsia yako tafadhali
Ana mlaje?
duh sawaOya nwanamke wa chuo hasubiliwi...utapelea sn....ka anazngua nenda nae kwa Danadana ivo ivo....ukiwa unajua 50%cio Zako...kwahy ustegemee sn

basi subiri akuache yeyeaaah it hurts dah![]()
..kumuacha dah ni ngumu sana
hahahaha..u r so funny![]()
![]()
![]()
manyoya yameshaisha hivi mm mbona simpat wa kumpeleka peleka kama hivyo et mm bikra hahahhhh
hahahhah chizi wwHa ha ha ha ulivyokomaa hvyo utampata nan? Wewe wa kwako vibur kama sie
May his sexual "object" Rest in Peace...
Eimeeen
piga hesabu vzr mkuu... form six kamaliza may 2016 chuo kaingia mwez wa 11 mwaka janaKuna issues za kitoto mnakaa na kuongelea na watoto wenzako!
humu utapotoshwa Zaidi kuliko kusaidika!
huwezi kupewa ushauri wa kimapenzi na jamii, lazima watu waliokaribu nanyi wafanye assessment ya situation na kushauri!
pili mahusiano sio lazima mfanye ngono, mwenza wako yuko sahihi, so subiri!
mwisho! acha uongo, au ukipenda uongo jifunze kuwa smart!
mtu aliyekuwa form 3 (Jan, 2013), atakuwa form 4 ( Jan 2014), then form five (May 2015/2016 ) na form six (May2016/2017)!
sasa huyo wa mwaka wa kwanza chuo kikuu ameingiaje?
anapaswa kufanyiwa uhakiki!
hahahhah chizi ww
haha hawa ma lecturer wangu wa BHSM
... ngja nifanye utekelezajiHamna muoaji hapo!Msikilize na uheshimu maamuzi yake na hiyo itakufanya ufikirie ndoa haraka, si uko mwaka wa tatu? Mshahara wako wa kwanza peleka posa kwao.
Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuwabania.Hamna muoaji hapo!
Boys wanakuwaga na mihemko sana damu ikiwa inashuka chini, na ktk umri wake wa 25 fantasies kibao, ila utashangaa akianza kujua kuvua watu chup*i utamuona kila siku anatafuta demu mpya na kutoa kasoro aliyeachana naye!
tulipita kipindi hicho na tunajua kuwa hii ni saa ya mazoezi, ngoja amle ataanza kutafuna tu mfululizo, hadi ikigonga 30-35 ndio akili inahama kwenye chu*pi/mapaja na kuanza kupanda kichwani na kuruhusu fikra za familia, ndoa na other responsibilities!
Kama hamtafuni huyo sio mpenzi wako bali ni ndugu yako, Amka usifanywe zoba ngoja siku akuambie ana mimba na hujawah kugegeda ndio akili itakukaa
Kama hamtafuni huyo sio mpenzi wako bali ni ndugu yako, Amka usifanywe zoba ngoja siku akuambie ana mimba na hujawah kugegeda ndio akili itakukaa
dah nmekua mpenzi mtizamaji..