Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Mentor,nashukuru kwa ushauri wako,mimi ni graduate kutoka sua,nimesoma human nutrition,najitahidi sana kutafuta kazi,ofisi zingine nikiingia kuomba kujitolea tu wananiulza kuna mtu unamjua humu,nikasema hakuna,wakaniambia huwezi kupata kiurahisi nenda kajaribu ofisi nyingine,kiukweli nimechoka kwa majibu hayo,ndio maana naomba msaada kwa wanajf wenzangu,najua umu mpo wenye nafasi za juu maofisini ambao mnaweza kunisaidia hata kwa kunipa nafasi ya kujitolea tu,nahitaji msaada ndugu zangu
hzio pesa kukweli niliziotea tu mahali flani kwa muda ndio nikaweza kumsaidia,lakini bado nina hali mbaya sana,kwa mtu anayeweza kunisaidia,my email: kunambi2003@yahoo.com
asanteni
Demu wako yupo MUCCoBS nini? mwambie akutafutie pande pale Wazalendo Secondary, they have been looking for a maths teacher...mshahara mzuri tu!!!