Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
wapendwa wanajf
najua humu ndani kuna thread ambazo huwa hazichukuliwi serioes kutokana na mtoaji mada kutokuwa serious,lakini hili langu nahitaji mawazo yenu
nina uhusiano na binti mmoja kwa muda wa miaka 4 sasa,mimi ndio niliyemtoa bikra na alikuwa ananipenda sana,tumekuwa tukisaidiana kwa kila kitu,yeye ana elimu ya form 4 nami ni graduate,mimi nilikuwa na kazi hapo awali lakini maka juzi (2009) nikawa sina kazi,lakin aliendelea kunivumilia wakati huo yeye alikuwa anareseat mtihani wa kidato cha nne na ilipofika mwaka jana nilimtafutia chuo kwa juhudi zangu akafanikiwa kupata na sasa yuko moshi anasoma certificate,na mimi bado natafuta kazi sijafanikiwa kupata mpaka leo hii,naandika habari hii nikiwa na majonzi makubwa,
tumeendelea kuwasiliana akiwa chuoni na kumsaidia kwa mambo yote pamoja na ya kifedha,ilipofika mwezi wa 4 mwaka huu alirudi likizo nyumbani lakini mm nilisafiri hivyo sikuonana nae,aliporudi tena chuo kuanza semester ya pili alikwama fedha ya ada kwani wazazi wake walimwambia watamtumia baada ya wiki mbili na chuoni walikuwa wanahitaji ada ili afanye registration,akanioambia na kuniomba nimsaidie kwa makubaliano kuwa atanirudishia wazazi wake watakapomtumia,nami nikampa bila wasiwasi kwani nampenda na niliamini kuwa ndio atakuwa mke wangu siku za usoni,ilipofika mwezi wa tano mwaka huu akawa amebadilika kila ninapoongea nae kwenye simu amekuwa akinijibu vibaya,na kwa kiburi (just short answers) sababu ni kwamba kila tukiongea kwenye simu namgombeza kwa sababu niliona hajibu kama ilivyokuwa mwanzo na akapunguza mawasiliano na mm,yaani mpaka nimuanze na wakati mwanzo haikuwa hivyo,nilipomuuliza kwanza aliniambia yupo busy,baaae nilipombana zaidi akaniambia anafanya hivyo anaogopa tukiwa tunaongea mara kwa mara kwenye simu tunagombana kwa hiyo ameamua kupunguza mawasiliano labda ndio hatutakuwa tunagombana,
nami nikachukia nikamwambia kama ni hivyo basi naomba nirudishie pesa nilizokupa,hapo ndio akakasirika na kunirudishishia nusu ya fedha kwa hasira kisha akaniambia tuvunje uhusiano na tubaki kama marafiki tu,sababu anasema nimemnyanyasa na pesa zangu nilizompa na anaogopa nitakuwa namnyanyasa kwenye ndoa sitakuwa namsaidia kwani hivi sasa tu nimemfanyia hivi je kwenye ndoa nitamsaidia? mimi nikamwomba msamaha,lakini hajanielewa anasema hana upendo tena kwangu kama wa mwanzo,na hivyo tubaki marafiki lakini akiwa na shida anaitafuta ili nimsaidie,baadae akasema nisubiri aongee na mama yake then akae na mimi tuongee tena ndio atajua aaume nn,kama ndio basi au tutaendelea na uhusiano wetu
dada zake wananijua vizuri tu,na mama yake ananisikia japo hajawahi kuniona ila nimewahi kuongea nae kwenye simu na hizo pesa nilizompa za ada mama yake anajua,alipowaomba ushauri dada zake na marafiki zake walimwambia aachane na mm,bado anataka kumuuliza mama yake ndio aje kuamua,yeye bado ananitafuta kimsaada wa mambo mengine ingawa mimi nikimpigia simu anapokea lakini haonyeshi mapenzi kama mwanzo, mimi nilimwambia kama unaamua tusiwe na mahusiano basi tusiwe marafiki kwa sababu mimi itaniuma
sasa je huyu nimchukulieje? niachane nae au nisubiri hilo jibu lake la mwisho baada ya kuongea na mama yake pamoja na mimi mwenyewe? mpaka sasa mimi bado natafuta kazi hivyo siko vizuri kifedha,naombeni ushauri wenu!
najua humu ndani kuna thread ambazo huwa hazichukuliwi serioes kutokana na mtoaji mada kutokuwa serious,lakini hili langu nahitaji mawazo yenu
nina uhusiano na binti mmoja kwa muda wa miaka 4 sasa,mimi ndio niliyemtoa bikra na alikuwa ananipenda sana,tumekuwa tukisaidiana kwa kila kitu,yeye ana elimu ya form 4 nami ni graduate,mimi nilikuwa na kazi hapo awali lakini maka juzi (2009) nikawa sina kazi,lakin aliendelea kunivumilia wakati huo yeye alikuwa anareseat mtihani wa kidato cha nne na ilipofika mwaka jana nilimtafutia chuo kwa juhudi zangu akafanikiwa kupata na sasa yuko moshi anasoma certificate,na mimi bado natafuta kazi sijafanikiwa kupata mpaka leo hii,naandika habari hii nikiwa na majonzi makubwa,
tumeendelea kuwasiliana akiwa chuoni na kumsaidia kwa mambo yote pamoja na ya kifedha,ilipofika mwezi wa 4 mwaka huu alirudi likizo nyumbani lakini mm nilisafiri hivyo sikuonana nae,aliporudi tena chuo kuanza semester ya pili alikwama fedha ya ada kwani wazazi wake walimwambia watamtumia baada ya wiki mbili na chuoni walikuwa wanahitaji ada ili afanye registration,akanioambia na kuniomba nimsaidie kwa makubaliano kuwa atanirudishia wazazi wake watakapomtumia,nami nikampa bila wasiwasi kwani nampenda na niliamini kuwa ndio atakuwa mke wangu siku za usoni,ilipofika mwezi wa tano mwaka huu akawa amebadilika kila ninapoongea nae kwenye simu amekuwa akinijibu vibaya,na kwa kiburi (just short answers) sababu ni kwamba kila tukiongea kwenye simu namgombeza kwa sababu niliona hajibu kama ilivyokuwa mwanzo na akapunguza mawasiliano na mm,yaani mpaka nimuanze na wakati mwanzo haikuwa hivyo,nilipomuuliza kwanza aliniambia yupo busy,baaae nilipombana zaidi akaniambia anafanya hivyo anaogopa tukiwa tunaongea mara kwa mara kwenye simu tunagombana kwa hiyo ameamua kupunguza mawasiliano labda ndio hatutakuwa tunagombana,
nami nikachukia nikamwambia kama ni hivyo basi naomba nirudishie pesa nilizokupa,hapo ndio akakasirika na kunirudishishia nusu ya fedha kwa hasira kisha akaniambia tuvunje uhusiano na tubaki kama marafiki tu,sababu anasema nimemnyanyasa na pesa zangu nilizompa na anaogopa nitakuwa namnyanyasa kwenye ndoa sitakuwa namsaidia kwani hivi sasa tu nimemfanyia hivi je kwenye ndoa nitamsaidia? mimi nikamwomba msamaha,lakini hajanielewa anasema hana upendo tena kwangu kama wa mwanzo,na hivyo tubaki marafiki lakini akiwa na shida anaitafuta ili nimsaidie,baadae akasema nisubiri aongee na mama yake then akae na mimi tuongee tena ndio atajua aaume nn,kama ndio basi au tutaendelea na uhusiano wetu
dada zake wananijua vizuri tu,na mama yake ananisikia japo hajawahi kuniona ila nimewahi kuongea nae kwenye simu na hizo pesa nilizompa za ada mama yake anajua,alipowaomba ushauri dada zake na marafiki zake walimwambia aachane na mm,bado anataka kumuuliza mama yake ndio aje kuamua,yeye bado ananitafuta kimsaada wa mambo mengine ingawa mimi nikimpigia simu anapokea lakini haonyeshi mapenzi kama mwanzo, mimi nilimwambia kama unaamua tusiwe na mahusiano basi tusiwe marafiki kwa sababu mimi itaniuma
sasa je huyu nimchukulieje? niachane nae au nisubiri hilo jibu lake la mwisho baada ya kuongea na mama yake pamoja na mimi mwenyewe? mpaka sasa mimi bado natafuta kazi hivyo siko vizuri kifedha,naombeni ushauri wenu!