funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Mentor,nashukuru kwa ushauri wako,mimi ni graduate kutoka sua,nimesoma human nutrition,najitahidi sana kutafuta kazi,ofisi zingine nikiingia kuomba kujitolea tu wananiulza kuna mtu unamjua humu,nikasema hakuna,wakaniambia huwezi kupata kiurahisi nenda kajaribu ofisi nyingine,kiukweli nimechoka kwa majibu hayo,ndio maana naomba msaada kwa wanajf wenzangu,najua umu mpo wenye nafasi za juu maofisini ambao mnaweza kunisaidia hata kwa kunipa nafasi ya kujitolea tu,nahitaji msaada ndugu zangu
hzio pesa kukweli niliziotea tu mahali flani kwa muda ndio nikaweza kumsaidia,lakini bado nina hali mbaya sana,kwa mtu anayeweza kunisaidia,my email: kunambi2003@yahoo.com
asanteni
Duh pole sana ndg yangu issue ya huyo dada nakushauri uachane nae, najua inauma sana kwa mtu uliyempenda lakini kama ameshakuomba msitishe uhusiano mbaki kuwa marafiki nakuomba uheshimu maamuzi yake, kumtoa bikira au kumtazamia kuwa aje kuwa mkeo si kigezo kama ameshakutamkia kuwa hataki kuendelea na uhusiano na wewe.
Mwache na acha kuwasiliana nae gharama ulizotumia mpk sasa samehe tu kwani utakuja kupata mchumba mzuri tu hapo baadae na kusahau yote anayokutenda huyu wa sasa. Kwa ufupi Mungu amekufungua ili ujue kuwa mchumba uliye nae si mchumba mwema hivyo shukuru na kuendelea na juhudi za kutafuta kazi.
Kuhusu kozi uliyosomea jitahidi utafute kazi kwenye mashirika ya nje ya nchi au lah jaribu kufungua biashara au duka la vyakula ambavyo vinazingatia afya ya mlaji na kutoa ushauri kwa wateja wako huku ukiendelea na kutafuta kazi itakayolipa zaidi
Vitu ulivyosomea ni sensitive sana na tatizo la chakula bora kwa mwanadamu ni global issue now ndio maana unaona kina Dr, Ndodi wanavuna tu hela bila kuwa na elimu nina uhakika kama ukiwa mbunifu na ukijituma hiyo kozi inaweza kukutoa kabisa au kama vp jaribu kuomba vyuo usome post graduate ya masomo tofauti na hilo uangalie ustaarabu ktk fani nyingine
Kila lakheri, kwa ushauri zaidi funzadume@yahoo.com
Issue yako ya kazi imenitia simanzi sana. Usikate tamaa Mungu yupo na utakuja kusahau shida zote ulizopitia na kumsahau kabisa huyo msichana anayekusumbua sasa.