Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Mie naongelea demu wa aina ya demu wa mleta mada. Tayari anampa mwanaume ticket,plus bwanaake hanywi,wengine sio malaya bro,but pombe inamuaffect akili zake,si tunaona wanalewa anakua mcharuko anavua nguo,wakat akiwa ajalewa ni mpole na hawezi kufanya alioyafanya akiwa amelewa.
Mpenzi wako lazima ujue tabia zake na uwe na msimamo ndio utaweza kumcontro,inavyoonyesha mtoa mada hana msimamo wala control yeyote na demu anajua ndo maana kalewa mara mbili na kumpa kavu za uso.Mimi kuna siku demu katoka kulewa na dada zangu wa tumbo moja,enzi hizo bado tunadate ajanijua vizuri,kachukua tax kaja kugonga nyumbani kwangu akitegemea kwa kuwa alikuwa na Dada zangu ntamfungulia aje kulala kwangu,sikufungua alafu ilikuwa winter ilibidi awatafute wifi zake aliokuwa nao disco,kunywa at your own risk na lazima nijue unakunywa na kina nani na saa ngapi unarudi home,sina tatizo ukitaka kualika marafiki zako wa kike waje nyumbani mnywe mpaka asubuhi na mimi ntaleta wangu tunywe na tuvute bangi mpaka.
 
Fanya kama nikivyofanya mimi. Hahahaaa niliona anapost anakunywa pombe fulani hivi. Basi nikaminya uzi kimya kimya toka that day sijampigia. Akahangaika weeee. Mie nipo kimya japo nilikuwa naumia. But now nimezoea
 
Hahaahaa mayemuuuuuuu
Sifa ya mwanaume n maamuz magum
Sifa ya mwanaume n kufanya jambo lisilotabirika mda wowote sa yeyote
Sifa ya mwanaume n kuwa na kauli ndan ya nyumba

Mkuu heb acha uzembe kuwa na kauli hawa viumbe wanapenda tuwe waume zao na marafk zao ila tumia akili kuishi nao wanajisahau mnoo

Mi napenda sana kutumia makofi mda mwngne maana namreinstall setting zake fresh
 
Mimi ni mwanamume niko mbali na mpenzi wangu kidogo sababu ya kikazi pia na ye anakazi yake nimeshtushwa na tabia ya mpenzi wangu ya kuanza kunywa pombe (beer) gafla sana hata sielewi..

Mara ya kwanza alikunywa nusu chupa akanambia alikuwa anatest tu radha kumuuliza nani kakupa akasema mfanyakazi mwenzake basi mi sikusema kitu zaidi ya kumuuliza tu unajisikiaje.

Mara ya pili alikunywa chupa 1 tu aisee sikupenda kabisa na nilimwambia mtu anae kunywa pombe ananipa sababu nianze kumchukia mana sitamwamini tena mbaya zaidi nilitumiwa na video kabisa akigonga chupa kumuuliza kwa nini umekunywa akasema amelazimishwa na bosi wake so sad.

Mara ya 3 ndo leo nimetoka zangu job nafika tu home mtoto ananipigia simu kalewa yuko njwaaaa..! hata kuongea anashindwa kumuuliza nini anasema kapiga chupa 2 za bia na amelewa balaa nikamuuliza kwa nini umekunywa akasema ana mawazo ya maisha.. na mi navyojua mambo yake yanaenda sawa kabisa binafsi mimi ni mlokole na nilishamwambia sipendi hiyo tabia ya kunywa yani mpaka hapa nishaanza kumchukia kabisa..toka mara ya pili..

Ushauri tafadhali wanaume wenzangu...! i wish to leave her serious.
WEWE NI MPENDWA AU MLOKOLE SASA BADALA YA KUMCHUKIA TAFUTA NJIA YA KUMSAIDIA.....
 
Mimi ni mwanamume niko mbali na mpenzi wangu kidogo sababu ya kikazi pia na ye anakazi yake nimeshtushwa na tabia ya mpenzi wangu ya kuanza kunywa pombe (beer) gafla sana hata sielewi..

Mara ya kwanza alikunywa nusu chupa akanambia alikuwa anatest tu radha kumuuliza nani kakupa akasema mfanyakazi mwenzake basi mi sikusema kitu zaidi ya kumuuliza tu unajisikiaje.

Mara ya pili alikunywa chupa 1 tu aisee sikupenda kabisa na nilimwambia mtu anae kunywa pombe ananipa sababu nianze kumchukia mana sitamwamini tena mbaya zaidi nilitumiwa na video kabisa akigonga chupa kumuuliza kwa nini umekunywa akasema amelazimishwa na bosi wake so sad.

Mara ya 3 ndo leo nimetoka zangu job nafika tu home mtoto ananipigia simu kalewa yuko njwaaaa..! hata kuongea anashindwa kumuuliza nini anasema kapiga chupa 2 za bia na amelewa balaa nikamuuliza kwa nini umekunywa akasema ana mawazo ya maisha.. na mi navyojua mambo yake yanaenda sawa kabisa binafsi mimi ni mlokole na nilishamwambia sipendi hiyo tabia ya kunywa yani mpaka hapa nishaanza kumchukia kabisa..toka mara ya pili..

Ushauri tafadhali wanaume wenzangu...! i wish to leave her serious.
Boss wake ndo kamfundisha,na kama boss wake ni wa kiume kuna walakini wa kuonjewa
 
Mimi ni mwanamume niko mbali na mpenzi wangu kidogo sababu ya kikazi pia na ye anakazi yake nimeshtushwa na tabia ya mpenzi wangu ya kuanza kunywa pombe (beer) gafla sana hata sielewi..

Mara ya kwanza alikunywa nusu chupa akanambia alikuwa anatest tu radha kumuuliza nani kakupa akasema mfanyakazi mwenzake basi mi sikusema kitu zaidi ya kumuuliza tu unajisikiaje.

Mara ya pili alikunywa chupa 1 tu aisee sikupenda kabisa na nilimwambia mtu anae kunywa pombe ananipa sababu nianze kumchukia mana sitamwamini tena mbaya zaidi nilitumiwa na video kabisa akigonga chupa kumuuliza kwa nini umekunywa akasema amelazimishwa na bosi wake so sad.

Mara ya 3 ndo leo nimetoka zangu job nafika tu home mtoto ananipigia simu kalewa yuko njwaaaa..! hata kuongea anashindwa kumuuliza nini anasema kapiga chupa 2 za bia na amelewa balaa nikamuuliza kwa nini umekunywa akasema ana mawazo ya maisha.. na mi navyojua mambo yake yanaenda sawa kabisa binafsi mimi ni mlokole na nilishamwambia sipendi hiyo tabia ya kunywa yani mpaka hapa nishaanza kumchukia kabisa..toka mara ya pili..

Ushauri tafadhali wanaume wenzangu...! i wish to leave her serious.
Ndo maisha yake. Kama hupendi achana nae.
 
Mimi ni mwanamume niko mbali na mpenzi wangu kidogo sababu ya kikazi pia na ye anakazi yake nimeshtushwa na tabia ya mpenzi wangu ya kuanza kunywa pombe (beer) gafla sana hata sielewi..

Mara ya kwanza alikunywa nusu chupa akanambia alikuwa anatest tu radha kumuuliza nani kakupa akasema mfanyakazi mwenzake basi mi sikusema kitu zaidi ya kumuuliza tu unajisikiaje.

Mara ya pili alikunywa chupa 1 tu aisee sikupenda kabisa na nilimwambia mtu anae kunywa pombe ananipa sababu nianze kumchukia mana sitamwamini tena mbaya zaidi nilitumiwa na video kabisa akigonga chupa kumuuliza kwa nini umekunywa akasema amelazimishwa na bosi wake so sad.

Mara ya 3 ndo leo nimetoka zangu job nafika tu home mtoto ananipigia simu kalewa yuko njwaaaa..! hata kuongea anashindwa kumuuliza nini anasema kapiga chupa 2 za bia na amelewa balaa nikamuuliza kwa nini umekunywa akasema ana mawazo ya maisha.. na mi navyojua mambo yake yanaenda sawa kabisa binafsi mimi ni mlokole na nilishamwambia sipendi hiyo tabia ya kunywa yani mpaka hapa nishaanza kumchukia kabisa..toka mara ya pili..

Ushauri tafadhali wanaume wenzangu...! i wish to leave her serious.
Mkuu chunguza kuna kitu nyuma ya pazia kinamfanya awe hvyo na chunguza kuna uwezakano mkubwa hapo ofisn kwake kuna njemba inamla na ndio inamfundisha kunywa maji ya ilala
 
Kuwa mbali naye kumemuathiri kisaikolojia,ndio maana yuko hivyo.we ni mwanaume bwana beba majukumu yote na muweke mkeo karibu hilo tatizo litaisha.
 
Yaani hizi chips zipigwe marufuku yaani wanaume wamekuwa nyoro nyoro sana ,sasa ndo mambo ya kuanzi sha uzi haya ,hizi korosho zitabanguliwa kweli ? Mkuu mimi binafsi naangalia mwanamke yukoje nawajua wengi wanalewa na wanajiheshimu ,na najua kukaa na mwanamke mnywaji ila sio mlevi ,ila kwa wewe umesema ni mchumba afu amejifunza pombe bila ruksa yako hivi kahaba wa hovyo huyo unapeleka wapi,mkuu mungu ana njia nyingi za kujibu maombi moja ni mwanamke kufanya amuzi kubwa bila kukushirikisha mm nshawahi acha mwanamke kwa kosa la kuchora tatoo tu,kosea ujenzi usikosee kuoa
Asipokuelewa kwa hii comment yako plz nikumbushe nami nimsisitizie tena kwanini Mungu alikataza Binadamu tusitumie vileo Mkuu.
 
Sifa ya mwanaume n maamuz magum
Sifa ya mwanaume n kufanya jambo lisilotabirika mda wowote sa yeyote
Sifa ya mwanaume n kuwa na kauli ndan ya nyumba

Mkuu heb acha uzembe kuwa na kauli hawa viumbe wanapenda tuwe waume zao na marafk zao ila tumia akili kuishi nao wanajisahau mnoo

Mi napenda sana kutumia makofi mda mwngne maana namreinstall setting zake fresh
Wazo bora kabisa kuliko mengine yote kwa siku ya leo.
 
Piga nae tu pombe ndege wafananao ndio huruka pamoja
 
Mimi ni mwanamume niko mbali na mpenzi wangu kidogo sababu ya kikazi pia na ye anakazi yake nimeshtushwa na tabia ya mpenzi wangu ya kuanza kunywa pombe (beer) gafla sana hata sielewi..

Mara ya kwanza alikunywa nusu chupa akanambia alikuwa anatest tu radha kumuuliza nani kakupa akasema mfanyakazi mwenzake basi mi sikusema kitu zaidi ya kumuuliza tu unajisikiaje.

Mara ya pili alikunywa chupa 1 tu aisee sikupenda kabisa na nilimwambia mtu anae kunywa pombe ananipa sababu nianze kumchukia mana sitamwamini tena mbaya zaidi nilitumiwa na video kabisa akigonga chupa kumuuliza kwa nini umekunywa akasema amelazimishwa na bosi wake so sad.

Mara ya 3 ndo leo nimetoka zangu job nafika tu home mtoto ananipigia simu kalewa yuko njwaaaa..! hata kuongea anashindwa kumuuliza nini anasema kapiga chupa 2 za bia na amelewa balaa nikamuuliza kwa nini umekunywa akasema ana mawazo ya maisha.. na mi navyojua mambo yake yanaenda sawa kabisa binafsi mimi ni mlokole na nilishamwambia sipendi hiyo tabia ya kunywa yani mpaka hapa nishaanza kumchukia kabisa..toka mara ya pili..

Ushauri tafadhali wanaume wenzangu...! i wish to leave her serious.
Mtengenezee kiwanda aanze kuzalisha Tanzania ya viwanda . usizubae fursa hiyo
 
ukweli ni kuwa "like poles attract unlike poles repel"
sijui huu msemo kwa Kiswahili unakuwaje
 
Mimi ni mwanamume niko mbali na mpenzi wangu kidogo sababu ya kikazi pia na ye anakazi yake nimeshtushwa na tabia ya mpenzi wangu ya kuanza kunywa pombe (beer) gafla sana hata sielewi..

Mara ya kwanza alikunywa nusu chupa akanambia alikuwa anatest tu radha kumuuliza nani kakupa akasema mfanyakazi mwenzake basi mi sikusema kitu zaidi ya kumuuliza tu unajisikiaje.

Mara ya pili alikunywa chupa 1 tu aisee sikupenda kabisa na nilimwambia mtu anae kunywa pombe ananipa sababu nianze kumchukia mana sitamwamini tena mbaya zaidi nilitumiwa na video kabisa akigonga chupa kumuuliza kwa nini umekunywa akasema amelazimishwa na bosi wake so sad.

Mara ya 3 ndo leo nimetoka zangu job nafika tu home mtoto ananipigia simu kalewa yuko njwaaaa..! hata kuongea anashindwa kumuuliza nini anasema kapiga chupa 2 za bia na amelewa balaa nikamuuliza kwa nini umekunywa akasema ana mawazo ya maisha.. na mi navyojua mambo yake yanaenda sawa kabisa binafsi mimi ni mlokole na nilishamwambia sipendi hiyo tabia ya kunywa yani mpaka hapa nishaanza kumchukia kabisa..toka mara ya pili..

Ushauri tafadhali wanaume wenzangu...! i wish to leave her serious.
mkuu hapa kuna mawili matatu yanakuhusu........

kwanza, kama wewe ni mlokole as you say, hio habari ya kuachana ifute kabisa kichwani mwako, ni dhambi na umeshafungwa nae mpk kifo!

au hujamsoma paulo katika koritho wa kwanza akiongelea uhusiano kati ya wanandoa (anaeamini vs asieamini) kwamba mmoja hutakaswa kwa mwingine?.........


so nakushauri, zidi kumwombea kwa Yesu awezaye kututakasa kqa damu yake ili mkeo nae atakasike!...... kama wewe umetakaswa na Bwana Yesu that means unaposhirikiana nae tendo la ndoa mnakua mwili mmoja, then Kristo aweza kumtakasa hata mkeo maana ni mwili mmoja na wewe!........

mwombee sana ili chuki yako uliyonayo kwake iondoke,
 
Back
Top Bottom