Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
Umeula wa chuya.
Hicho ni kibuti cha kidiplomasia
khaaa?! ...hhahhhaaaa....! haya bana.
Umeula wa chuya.
Hicho ni kibuti cha kidiplomasia
wadau, mi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye kwa sasa kaamua kuokoka na anadai maandiko hayamruhusu kufanya tena upuuzi wa zamani (yaani uasherati). Nimembebeleza na kumwambia kuwa niko tayari kuokoka ili nimpate lakini anasema hata nikiokoka uhusiano wangu na yeye hautaweza kuendelea. Na amenionya nisithubutu kuokoka kwa ajili yake na kama nataka kuokoka niokoke lakini si kwa ajili ya kumpata yeye. Anasisitiza kuwa inabidi amwombe Mungu ampe mme kutoka kwake hivyo mi ndo basi tena.
wadau hebu nisaidieni nifanyeje. Je nimuibukie huko huko church au nifanyeye maana bado nampenda na sitaki kumpoteza. :confused2:
yupo sahihi kabisaa, inawezekana wewe unataka kuchakachua tu, propose ndoawadau, mi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye kwa sasa kaamua kuokoka na anadai maandiko hayamruhusu kufanya tena upuuzi wa zamani (yaani uasherati). Nimembebeleza na kumwambia kuwa niko tayari kuokoka ili nimpate lakini anasema hata nikiokoka uhusiano wangu na yeye hautaweza kuendelea. Na amenionya nisithubutu kuokoka kwa ajili yake na kama nataka kuokoka niokoke lakini si kwa ajili ya kumpata yeye. Anasisitiza kuwa inabidi amwombe Mungu ampe mme kutoka kwake hivyo mi ndo basi tena..
wadau, mi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye kwa sasa kaamua kuokoka na anadai maandiko hayamruhusu kufanya tena upuuzi wa zamani (yaani uasherati). Nimembebeleza na kumwambia kuwa niko tayari kuokoka ili nimpate lakini anasema hata nikiokoka uhusiano wangu na yeye hautaweza kuendelea. Na amenionya nisithubutu kuokoka kwa ajili yake na kama nataka kuokoka niokoke lakini si kwa ajili ya kumpata yeye. Anasisitiza kuwa inabidi amwombe Mungu ampe mme kutoka kwake hivyo mi ndo basi tena.
wadau hebu nisaidieni nifanyeje. Je nimuibukie huko huko church au nifanyeye maana bado nampenda na sitaki kumpoteza. :confused2:
Ila namwona kweli siku hizi ni mtu wa church kweli kweli na amekuwa mtu wa tofauti. Kwani ina maana hata walokole wanafanya mambo ya nanihii
Mungu awasamehe na akusamehe na wewe pia, nakushauri umrudie Mungu harakaHakuna ulokole kwa vijana ni usanii mtupu ,nimemega walokole wengi sana !
kweli kabisa, ni kama msichana akitaka kuachana na bf wake anajifanya kapigiwa simu na mwanamke wa huyo jamaa, yuko radhi anunue line ajittumie msg mwenyewe, nilikuwa na rafiki jirani alimfanyia bf wake hivo sasa hivi anajutia uamuziKataka tu kuachana na wewe hichoo ni kisingizio
Hakuna ulokole kwa vijana ni usanii mtupu ,... !
............... ,nimemega walokole wengi sana !