Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,791
Amekwambia na hata ukiokoka hana muda tena wa ndoa na wewe, au nimekusoma vibaya?
ila namwona kweli siku hizi ni mtu wa church kweli kweli na amekuwa mtu wa tofauti. Kwani ina maana hata walokole wanafanya mambo ya nanihii