Jambo la muhimu ni kukaa kimya maana kuna kukurupuka kwingine kunatusaidia. MsemajiUkweli ameleta mada hii na kutufafanulia Homeshopping ndio waliojigeuza na kuwa GSM ambao sasa wanafanya kazi bega kwa bega na mkuu wa mkoa!Siku hizi kuna mashindano ya kupost thread humu.Maana watu wanakurupuka sana
Namsubiri huyu Msemajiuongo akujibu hapa. Naomba asikimbie tafadhali! This is tje problem of not seing things in perspective!Ok , hoja yako ni kuhusu home shopping uliosema 'wamejfilisi' na kuibuka kama GSM
Hapa ulikuwa unaonyesha kuwa zama hizi hazina masihara kwa mantiki ya bandiko lako
Ndipo nikauliza hawa GSM si ndio wanashirikiana na mkuu wa mkoa kujenga hospitali?
Hawa GSM si ndio wanaoshirikiana na mkuu wa mkoa kujenga jengo la dini moja?
Kwa jibu lako umetuondoa hofu kuwa Home shopping ndio GSM. Na ni kweli kuwa corp ni independent entity that is separate to people who own, control and manage it kwa mujibu wako ambao sina tatizo nao
Tatizo langu ni hapa unapojaribu kuwaondoa Home shopiing ambao ni GSM kwa mujibu wako katika mahusiano na serikali. Kumbuka mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa Seriali katika ngazi ya mkoa
Hapa ndipo kuna tatizo kwamba hawa unaosema 'walijfilisi' kumbe wanakuja na gia nyingine halafu wanashirikisha viongozi wa serikali, na kisha unatuambia zama hazina masihara! ati?
Uhusiano wa GSM, Mkuu wa mkoa, hospitali na jengo la dini ni dhahiri na hapa mkuu wa mkoa ndiye '' subject matter''
Msemajiukweli ametuambia ushiriki wa mkuu wa mkoa! kumbe majengo yote yawe ya dini au hospitali yanatokana na shughuli zisizo na ithbati katika uhalali the least to say
Mkuu wa mkoa matatani, na nilisema msemjiukweli inawezeakana alisahau!
Mkuu wa mkoa Homeshoping, GSM, Jengo la dini, jingo la hospitali! kuna neno hapa waungwana. Hili tulitazame kwa ajicho mujarab, msemajiukweli katueleza kitu
Kamwaga Mtama,Mbele ya Kuku Wengi...Jambo la muhimu ni kukaa kimya maana kuna kukurupuka kwingine kunatusaidia. MsemajiUkweli ameleta mada hii na kutufafanulia Homeshopping ndio waliojigeuza na kuwa GSM ambao sasa wanafanya kazi bega kwa bega na mkuu wa mkoa!
Tena kasema 'walijifilisi' baada ya kunusa hatari na kuja na ngozi nyingine
Hapa kuna neno!
Mag3 JokaKuu BAK Mchambuzi Waungwana kile kitendawili cha GSM ni nani MsemajiUkweli kakitegua. Katufungulia milango. Kumbe mkuu wa mkoa! lahaula!
Ok , hoja yako ni kuhusu home shopping uliosema 'wamejfilisi' na kuibuka kama GSM
Hapa ulikuwa unaonyesha kuwa zama hizi hazina masihara kwa mantiki ya bandiko lako
Ndipo nikauliza hawa GSM si ndio wanashirikiana na mkuu wa mkoa kujenga hospitali?
Hawa GSM si ndio wanaoshirikiana na mkuu wa mkoa kujenga jengo la dini moja?
Kwa jibu lako umetuondoa hofu kuwa Home shopping ndio GSM. Na ni kweli kuwa corp ni independent entity that is separate to people who own, control and manage it kwa mujibu wako ambao sina tatizo nao
Tatizo langu ni hapa unapojaribu kuwaondoa Home shopiing ambao ni GSM kwa mujibu wako katika mahusiano na serikali. Kumbuka mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa Seriali katika ngazi ya mkoa
Hapa ndipo kuna tatizo kwamba hawa unaosema 'walijfilisi' kumbe wanakuja na gia nyingine halafu wanashirikisha viongozi wa serikali, na kisha unatuambia zama hazina masihara! ati?
Uhusiano wa GSM, Mkuu wa mkoa, hospitali na jengo la dini ni dhahiri na hapa mkuu wa mkoa ndiye '' subject matter''
Msemajiukweli ametuambia ushiriki wa mkuu wa mkoa! kumbe majengo yote yawe ya dini au hospitali yanatokana na shughuli zisizo na ithbati katika uhalali the least to say
Mkuu wa mkoa matatani, na nilisema msemjiukweli inawezeakana alisahau!
Mkuu wa mkoa Homeshoping, GSM, Jengo la dini, jingo la hospitali! kuna neno hapa waungwana.
Hili tulitazame kwa ajicho mujarab, msemajiukweli katueleza kitu
Tatizo una panic jibu hoja siyo ngonjera nyingi,Sasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Jambo la muhimu ni kukaa kimya maana kuna kukurupuka kwingine kunatusaidia. MsemajiUkweli ameleta mada hii na kutufafanulia Homeshopping ndio waliojigeuza na kuwa GSM ambao sasa wanafanya kazi bega kwa bega na mkuu wa mkoa!
Tena kasema 'walijifilisi' baada ya kunusa hatari na kuja na ngozi nyingine
Hapa kuna neno!
Mag3 JokaKuu BAK Mchambuzi Waungwana kile kitendawili cha GSM ni nani MsemajiUkweli kakitegua. Katufungulia milango. Kumbe mkuu wa mkoa! lahaula!
Mkuu,Umetoa Boko kwa Timu Pinzani...Mkuu;
Unataka ushahidi upi?
Kama ni kuhusu Home Shopping Centre to GSM Foundation, Mimi sio mtaalam wa masuala ya Corporate law.
Siasa mara nyingi hazina sheria lakini sheria hazina siasa.Ok , hoja yako ni kuhusu home shopping uliosema 'wamejfilisi' na kuibuka kama GSM
Hapa ulikuwa unaonyesha kuwa zama hizi hazina masihara kwa mantiki ya bandiko lako
Ndipo nikauliza hawa GSM si ndio wanashirikiana na mkuu wa mkoa kujenga hospitali?
Hawa GSM si ndio wanaoshirikiana na mkuu wa mkoa kujenga jengo la dini moja?
Kwa jibu lako umetuondoa hofu kuwa Home shopping ndio GSM. Na ni kweli kuwa corp ni independent entity that is separate to people who own, control and manage it kwa mujibu wako ambao sina tatizo nao
Tatizo langu ni hapa unapojaribu kuwaondoa Home shopiing ambao ni GSM kwa mujibu wako katika mahusiano na serikali. Kumbuka mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa Seriali katika ngazi ya mkoa
Hapa ndipo kuna tatizo kwamba hawa unaosema 'walijfilisi' kumbe wanakuja na gia nyingine halafu wanashirikisha viongozi wa serikali, na kisha unatuambia zama hazina masihara! ati?
Uhusiano wa GSM, Mkuu wa mkoa, hospitali na jengo la dini ni dhahiri na hapa mkuu wa mkoa ndiye '' subject matter''
Msemajiukweli ametuambia ushiriki wa mkuu wa mkoa! kumbe majengo yote yawe ya dini au hospitali yanatokana na shughuli zisizo na ithbati katika uhalali the least to say
Mkuu wa mkoa matatani, na nilisema msemjiukweli inawezeakana alisahau!
Mkuu wa mkoa Homeshoping, GSM, Jengo la dini, jingo la hospitali! kuna neno hapa waungwana. Hili tulitazame kwa ajicho mujarab, msemajiukweli katueleza kitu
Tafadhari weka picha za mpembaKama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.
Ukitaka kumfahamu ''mpemba'' pitia hii thread;
Katibu wa zamani wa Simba Hasonoo kortini kwa wizi wa pembe za ndovu
Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.
Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .
Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.
Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.
Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.
Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.
Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
precise! precise!unazungumzia usafi
kuwa hata gsm wafanyeje bado wana doa na wanajulikana wametokea wapi
kisheria wana nguvu na wamefufuka upya na ngumu kuwaweka nguvuni, kisheria kwa maana ya sheria
kiusafi, legitimacy....ileeee ambayo polepole alisema lowassa hana, ndio tunaona mfano huu wa uhusiano wa makonda, gsm na jengo la dini
kwa kifupi hakuna usafi wa serikali kushirikiana na hao watu
Kamwaga Mtama,Mbele ya Kuku Wengi...
Mbona mnajua ukweli mnaficha ficha nn mnaogopa semeni ukweli mpemba ni nani?Mkuu,Umetoa Boko kwa Timu Pinzani...
Hapana ndugu sio ukweli kama una haki ya kujianfikia utakacho. Heading yako na content hazilingani kabisa. Hii post yako inaweza kuingia kwenye lile kundi la posting potoshi na zikawa zinavunja sheria nyingi tuu.Sasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Sasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Alipigiwa Simu akatoa amri waachiweUnajua kazi ya DCI Lakini ?
Yaani aachwe kutumbuliwa Kamanda wa Kikosi cha kuzuia ujangili atumbuliwe DCI.
Sawa kama kavaa Tishet na Jeans lkn ndani ana Sket na Gahulo...Sasa kichwa cha habari ni Mpemba halafu ndani ni maoni yako tu
na hiyo habari ya mpemba haipo
na wewe mbona hubadiliki?
Naomba umsome Waberoya nadhani utamwelewa kuliko unavyonielewaSiasa mara nyingi hazina sheria lakini sheria hazina siasa.
Ndio yaleyale ya Clinton kupiga kelele za kisiasa akisema Trump hajalipa kodi wakati kisheria hawezi kulipa kodi kutokana na hasara ya $916 million aliyopata mwaka 1995. Hizi ni kelele tu za kisiasa ambazo hazina nguvu kisheria.
Kuifahamu kama GSM Foundation ni kampuni iliyoanzishwa na wamiliki wa Home Shopping Centre haina maana yoyote kisheria kwa sababu kampuni ni independent entity.
Unaweza kupiga kelele kisiasa lakini huwezi kufanya lolote kisheria.
Kutokuwa na mashala haina maana kuwa uko juu ya sheria.