Mpasuko wanukia CHADEMA

Mpasuko wanukia CHADEMA

Mbowe ni Nkurunzinza......vikao vya chama haviweki wazi mapato na matumizi ya chama yanafanyikaje.....Mpendazoe yupo sahihi na ni vigumu kwa wafuasi wa Lowassa ( New CDM) kuelewa hili.
Member wa vikao hivyo ndio mwenye kuweza kulalamikia kuwa taarifa hizo haziletwi. Nje ya hapo ni upuuzi. Mbona hata CAG aliyepewa mamlaka kisheria ya kuchunguza hesabu za vyama hajawahi kuituhumu Chadema kuwa haitoi taarifa?
 
hii chadema imejengwa na cementi ya nyati nini ? maana tangu waanze kusema inavunjika mpaka leo bado tu ?
Mkuu naona hawa wanaoendeleza alikoishia wasira ni wapya hapa jukwaani na siasa za cdm kwa ujumla,wamuulize wasira yuko wapi sasa baada ya kuitabiria kifo cdm sasa yupo kwao anachunga mbuzi na siasa amesha zisahau
1458910591369.jpg
 
Member wa vikao hivyo ndio mwenye kuweza kulalamikia kuwa taarifa hizo haziletwi. Nje ya hapo ni upuuzi. Mbona hata CAG aliyepewa mamlaka kisheria ya kuchunguza hesabu za vyama hajawahi kuituhumu Chadema kuwa haitoi taarifa?
Mkuu chakaza hilo ni buyu la lumumba, hapa linatafuta kuingiza buku 7 hujui kuwa easter ndiyo inakariba?hivyo kawaaga watoto wake kuwa kaenda kazini
 
Mkuu chakaza hilo ni buyu la lumumba, hapa linatafuta kuingiza buku 7 hujui kuwa easter ndiyo inakariba?hivyo kawaaga watoto wake kuwa kaenda kazini
Ha ha ha mbona mlipaji kaenda mapumziko hadi jumatano?
Hao watoto wao easter wataisikia tuu, labda watu pm tutor kansaada kidogo. Undugu ni kufaana sio kufanana
 
Mpendazoe ndiyo alete mpasuko chadema hiki ni kituko cha mwaka ilibaki kidogo kilingane na hadithi ya jecha
Mpendazoe si mmiliki wala si mmoja wa wanafamilia, sidhani kama ataweza kumtoa machokumchuzi kwenye umiliki wa kitega uchumi cha familia yao.
 
Ha ha ha mbona mlipaji kaenda mapumziko hadi jumatano?
Hao watoto wao easter wataisikia tuu, labda watu pm tutor kansaada kidogo. Undugu ni kufaana sio kufanana
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, kwa maana nyingine ndio tayari wameisoma namba?
 
Yaani MTU anayeongoza harakati ni Mpendazoe? Harakati hizo zitakua zimeshindwa kabla ya kuanza
Mbowe ni Mungu wao hao, hata kumtaja jina lake wanajionya kwanza, hakuna hata mtu mmoja ndani ya cdm anayeweza kumvaa Mboye.
 
Hiki kigazeti ni cha kada wa CCM anaitwa Julius Mapunda, anakimiliki pamoja na kile kigazeti chake kingine kinaitwa Tazama. Kwa miaka yote hivi vigazeti hulipiwa gharama za kuchapishwa nakala zake na CCM.
Sasa kwa kigazeti hicho kutumiwa kama chanzo cha thread hapa JF ni sawa na kulikosea heshima hili jukwaa.

Ova
 
Member wa vikao hivyo ndio mwenye kuweza kulalamikia kuwa taarifa hizo haziletwi. Nje ya hapo ni upuuzi. Mbona hata CAG aliyepewa mamlaka kisheria ya kuchunguza hesabu za vyama hajawahi kuituhumu Chadema kuwa haitoi taarifa?
hii inaweza kuwa post bora kabisa kwenye uzi huu .
 
Mpendazoe si mmiliki wala si mmoja wa wanafamilia, sidhani kama ataweza kumtoa machokumchuzi kwenye umiliki wa kitega uchumi cha familia yao.
Naona siku zako za kurudi mirembe ndio zinakaribia kwani ndio mwisho wa mwezi
 
Mbowe ni Mungu wao hao, hata kumtaja jina lake wanajionya kwanza, hakuna hata mtu mmoja ndani ya cdm anayeweza kumvaa Mboye.
Hivi mmiliki wa meli iliyokamatwa na meno ya tembo kule ughaibuni alisha enda kumaliza kesi yake?
 
Hiki kigazeti ni cha kada wa CCM anaitwa Julius Mapunda, anakimiliki pamoja na kile kigazeti chake kingine kinaitwa Tazama. Kwa miaka yote hivi vigazeti hulipiwa gharama za kuchapishwa nakala zake na CCM.
Sasa kwa kigazeti hicho kutumiwa kama chanzo cha thread hapa JF ni sawa na kulikosea heshima hili jukwaa.

Ova
Asante sana mkuu kwa kutupatia mwanga wa kukijua kiundani hicho kijarida, salute
 
Haya bhana ngoja tuone. Nyumba haiwezi kua imara kama haijatikiswa na upepo
Kama huo upepo upo lakini...
 
Member wa vikao hivyo ndio mwenye kuweza kulalamikia kuwa taarifa hizo haziletwi. Nje ya hapo ni upuuzi. Mbona hata CAG aliyepewa mamlaka kisheria ya kuchunguza hesabu za vyama hajawahi kuituhumu Chadema kuwa haitoi taarifa?
Sasa kama wanamuogopa watahojije?
 
Ptyuuuuuuu,siwezi kuwa ndugu na chumia tumboView attachment 332448

Nchi hii bwana, watu wanaojifanya wana demokrasia hata uwezo wa kusikiliza hoja ya mtu na kuijibu hawana, ukimpa hoja anakimbilia katika vijitu vidogo vidogo kukimbia hoja ama kujificha uwezo wake kwa kutukana. Hoja inajibiwa kwa hoja na si kuitana majina ya kufikirika wala kutukanan na pia hata katika chama kimoja cha siasa watu wana ufikiri tofauti majadiliano lazima yafanyike. Muafaka haufikiwi kwa kumtukana wala kumkashifu mtu bali kutoa hoja yenye nguvu. Kama mtu anayejiona yeye anaelewa yuko namna hii basi sisi tusiolewa tuko taabani.Utupu wa kichwa una dhalilisha kuliko utupu wa mwili.
 
Back
Top Bottom