Lumumba wana haha kweli, walisema chadema kinakufa, wakasema slaa kaondoka na chama, wakasema hawawezi kushinda chaguzi za 2015, walisema zitto kaondoka chadema hakifai, wakasema cha kaskazini, wakasema cha kichaga. Leo huyu alieshindwa kujenga chama chake aje ampindue mbowe?! haya si maajabu ni upuuzi haufai hata kujadiliwa. Chadema hakipasuki zaidi ndio kimezidi kuwa imara.