Mpasuko wanukia CHADEMA

Mpasuko wanukia CHADEMA

Kwahiyo wewe uliyefukuzwa toka cdm ukaenda ccm na act huko unaeneza mawazo ya cdm?
Haimaanishi kuwa nilichokiongea ni uongo......BTW CDM halisi tupo wazalendo......nyie wafuasi wa Lowassa na pesa zenu mmenunua chama chetu
 
Haimaanishi kuwa nilichokiongea ni uongo......BTW CDM halisi tupo wazalendo......nyie wafuasi wa Lowassa na pesa zenu mmenunua chama chetu
Naona u eshaanza kujutia kuondoka cdm, rudi utubu utasamehewa tu
 
Mkuu naona unatumia lugha halisi kiasi kwamba mtu ambaye aliogopa umande kama wale walivyojazana pale mitaa ya karibu na malapa in huwezi elewa nini ume maanisha
Aiseee asante kwa hilo japo ualimu si fani yangu,
 
Back
Top Bottom