gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,323
- 3,377
Katika ubora wako mzee wa chama chakibaguzi wakikanda na ukabilaUandishi wako unaonesha wewe ni mmakonde au mmakua
Katika ubora wako mzee wa chama chakibaguzi wakikanda na ukabilaUandishi wako unaonesha wewe ni mmakonde au mmakua
utakufa hujakaribia hata cheo cha mutungiingalikuwa uwezo wangu sawa na jaji mutungi, hili li chama la wakunja ngumi na kuzungurusha mkono ningelifutilia mbali!
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, mkuu wacha nimalize kasupu ka kongoro nisikatapke kwa kichekoMpendazoe ndiyo alete mpasuko chadema hiki ni kituko cha mwaka ilibaki kidogo kilingane na hadithi ya jecha
Anzisha Chama chako Mkuu! Nafasi bado zipo! Yanini kupasua kichwa kwa issue ndogo Kama hiyo?Mbowe ni Nkurunzinza......vikao vya chama haviweki wazi mapato na matumizi ya chama yanafanyikaje.....Mpendazoe yupo sahihi na ni vigumu kwa wafuasi wa Lowassa ( New CDM) kuelewa hili.
Hiki kijarida hata utumbo hakifungiwiFredy Mpendazoe aongoza harakati za kumpindua Mbowe.
View attachment 332376
Haswaaaaaaaaaaaa huo ndio ukweli mtupu,sembuse na mwenye wizara ndiye mwenye chamawanapokea ruzuku kutoka Lumumba lazima wamfurahishe bwana wao
Mbona alipofukuzwa babako zzk hawakubisha?Chadema chama kisichoaminika watapinga hii hadi mwisho kama walivyokapinga ujio wa lowasa kumbe mbowe alishajipigia dili kitambo...!!
Mkuu wewe siyo jembe la mkn bali wewe ni jembe la trekta,salute sanaHakuna kipindi ambacho Chadema iko kwenye mshikamano na umoja wa hali ya juu kama sasa.
Hiyo habari kamili aipate wapi wakati ana weweseka tu, mkuu ogopa sana njaaMpasuko gani leta habari kamili
Lumumba wote uezo wao wa kufikiri na kuandika ni mdogo sana,ndio maana wanatumia hivyo vipeperushiNilidhani SingidaDodoma pekee smbaye chanzo chake cha habari ni magazeti ya udaku,kumbe Kuna bazazi mwingine
Mkuu kwa wanaochapisha hivyo vipeperushi vya lumumba wao huwa wanapewa bureHivi Zile mashine za kuchapa Na kuprint magaZeti Ni Kama sh ngapi ukinunulia China? Na mpaka mzigo unafika hapa dar inAkua sh ngapi?
Mkuu kasheshe lilikuwa juu sanaHahhhaahahaa nauliza hichi kijikaratasi(mkakati) kati yake yake na kiu,ijumaa,kasheshe,sani ipi inanunulika na ina circulation kubwa?