Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Siku hizi kajificha kabisa hajionyeshi onyeshi. Hata sins hakika kama hata Zanzibar kumtawadha mtu wao kama alienda.Hivi mmiliki wa meli iliyokamatwa na meno ya tembo kule ughaibuni alisha enda kumaliza kesi yake?
Kuna mtu kaniambia toka Maghembe apewe Maliasili kanywea maana wakati wa Mkwere alikuwa anamtangaza kuwa ni mzigo na jamaa Profesa kasema watakutana porini ama zake ama za profesa. Kanywea kabisa Dentist