Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,021
Sasa kama wapambe wake tu Bashe na Serukamba wamegoma kumfuata Lowassa Chadema ndio unatarajia wapinzani wake kama Mwondosya wamfuate?endeleeni kusubiria mafuriko ambayo hayapo.
Ni yale yale ya fisi kumfuata binadamu akidhani mkono unataka kunyofoka.
Aliekudanganya kumuunga mkono Lowasa ni lazima kuhama chama huyo ndo aliekudanganya.