Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

Offer ya weekend leo imekudaka mapema hivi,haya tumekusikia na post yako uchwara,sasa kakojoe ulale.
 
Sasa kama wapambe wake tu Bashe na Serukamba wamegoma kumfuata Lowassa Chadema ndio unatarajia wapinzani wake kama Mwondosya wamfuate?endeleeni kusubiria mafuriko ambayo hayapo.

Ni yale yale ya fisi kumfuata binadamu akidhani mkono unataka kunyofoka.
Mpiganaji mahiri ni yule ambae yuko ndani ambae anatoa siri zote muhimu zinazosaidia kumwangamiza adui bila huruma.
 
Wote na wahame tu, CCM wabaki nape,baba riz na rizwenyewe.

Huko wameishakuja kwa siri Naziri Karamagi, Andrew Chenge na Rostam Azizi na wezi wengine ambao ndio waliochanga Billion 12 zilizotumika kununua nafasi ya urais Chadema.Hao ndio wenye ubia wa urais wa Lowassa, akipata Lowassa wamepata wao.
 
Katika hali inayozidi kudhihirisha anguko kubwa la chama kilichoitawala nchi yetu kwa zaidi ya nusu karne, magwiji wa siasa ndani ya chama hicho wanazidi kutimka.

The lates ni kuwa Professor Mark Mwandosya ambaye ni waziri katika serikali hii ya ccm na aliyekuwa mgombea urais kwa hatua za mwanzo ndani ya chama hicho, anahamia Chadema.

Waziri huyo ambaye hakusita kuuponda mfumo mbovu wa kupitishwa majina ya wagombea na kamati za maamuzi ya chama chake inasemekana ndani ya majuma mawili haya atatimkia Chadema.

Aidha, mkongwe na gwiji wa siasa nchini Kingunge Ngombale Mwilu ambaye hakuficha hisia na maoni yake ju ya dhurma alizofanyiwa Eduard Lowassa na ccm ana mpango wa kutimkia chama cha wananchi Cuf mapema wiki hili.

Kama hiyo haitoshi, waziri wa zamani wa Mambo ya ndani ndg Emmanuel Nchimbi anatimkia cuf na kuwa mgombea wa jmbo la Songea Mjini kupitia chama hicho.
Zaidi tutaendelea kujuzana



Acha kumuiga Lizaboni kwa kutunga story zisizo na mashiko!
 
Mpiganaji mahiri ni yule ambae yuko ndani ambae anatoa siri zote muhimu zinazosaidia kumwangamiza adui bila huruma.

Endeleeni kujidanganya, na assignment watakayopewa hawa ndio watakuwa wanaomponda Lowassa.Kama siasa huijui tulia tu, hakuna urafiki wa kudumu kwenye siasa bali kuna maslahi ya kudumu, kwao hawa sasa Lowassa hana deal, kazi yao sasa ni kujitengenezea mazingira ya kuaminika ndani ya CCM.
 
Katika hali inayozidi kudhihirisha anguko kubwa la chama kilichoitawala nchi yetu kwa zaidi ya nusu karne, magwiji wa siasa ndani ya chama hicho wanazidi kutimka.

The lates ni kuwa Professor Mark Mwandosya ambaye ni waziri katika serikali hii ya ccm na aliyekuwa mgombea urais kwa hatua za mwanzo ndani ya chama hicho, anahamia Chadema.

Waziri huyo ambaye hakusita kuuponda mfumo mbovu wa kupitishwa majina ya wagombea na kamati za maamuzi ya chama chake inasemekana ndani ya majuma mawili haya atatimkia Chadema.

Aidha, mkongwe na gwiji wa siasa nchini Kingunge Ngombale Mwilu ambaye hakuficha hisia na maoni yake ju ya dhurma alizofanyiwa Eduard Lowassa na ccm ana mpango wa kutimkia chama cha wananchi Cuf mapema wiki hili.

Kama hiyo haitoshi, waziri wa zamani wa Mambo ya ndani ndg Emmanuel Nchimbi anatimkia cuf na kuwa mgombea wa jmbo la Songea Mjini kupitia chama hicho.
Zaidi tutaendelea kujuzana
Lizaboni ndugu yako mwingine huyu hapa
 
Last edited by a moderator:
Mleta mada nakuunga mkono kwa kuisema ukweli mtupu kwani hata mimi nimedokezwa na mtu kutoka CCM.
 
Pia mimi nimejulishwa jana na mmoja wa 'waratibu' wa kampeni ya Lowassa ya kwamba Kingunge atakihama chama mapema, ikiwezekana ndani ya wiki hii, ili kumuunga mkono EL. Tusubiri
 
ni kama nimemsikia Isack Muyenji Gamba DW akisoma taarifa ya hbr. ametoka lini itv?
 
Mpasuko uko huko kwenu kwenye taasisi ya Wachaga. CCM wameshamtosa Yona Baharini na amemezwa na Papa au Nyangumi.
 
Back
Top Bottom