NAFIKIRE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 681
- 467
Na iwe Kweli ili taifa lipone.
Moyo unanidundaaa.......moyo waenda mbio........kupu...kupu....kupu.......
Tulianza na Mungu Tupo na Mungu na Tutamaliza na Mungu
Na iwe Kweli ili taifa lipone.
Sasa kama wapambe wake tu Bashe na Serukamba wamegoma kumfuata Lowassa Chadema ndio unatarajia wapinzani wake kama Mwondosya wamfuate?endeleeni kusubiria mafuriko ambayo hayapo.
Ni yale yale ya fisi kumfuata binadamu akidhani mkono unataka kunyofoka.
Jamaa muhuni kweli anasubiri mafuriko jagwani sijui yataanzia wapi.