Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo (vinavyoonekana na visivyoonekana), kama itakupendeza mtumie mwanao Dr. Mpango kuliokoa taifa letu.
Umaskini wakutengenezwa unatuumiza sana.
Watanzania tunaumia, 😭😭😭
Watanzania hatuna furaha kabisa,😭😭😭
Mioyo yetu imekufa ganzi 😭😭😭
Tumepoteza muelekeo.
Tumechoka
Hatuwezi kujadili maendeleo ya nchi yetu kwa uwazi tena.
Umaskini wakutengenezwa unatuumiza sana.
Watanzania tunaumia, 😭😭😭
Watanzania hatuna furaha kabisa,😭😭😭
Mioyo yetu imekufa ganzi 😭😭😭
Tumepoteza muelekeo.
Tumechoka
Hatuwezi kujadili maendeleo ya nchi yetu kwa uwazi tena.