Kwa kifupi kuna agizo kutoka chama cha CCM kwa jeshi la polisi ili kuwakomoa wanaharakati wa Chadema wanaomiliki mabasi ya Usafirishaji katika jiji la Dar es salaam
na mpango huo umeanza toka jana na utakuwa endelevu . Kwahiyo kwa wanaharakati mjipange kufirisika au kujisalimisha kwao nao wafanye wanachokitaka
na mpango huo umeanza toka jana na utakuwa endelevu . Kwahiyo kwa wanaharakati mjipange kufirisika au kujisalimisha kwao nao wafanye wanachokitaka