timeline
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 458
- 2,396
Kabla hujapata hasira na kuona huu ni utoto, hii ni social forum tu.
Watu wapo tofauti, soma kilichoandikwa na endelea na majukumu yako, watu hawafanani, kila mmoja ana mtazamo wake.
Ni katika mahusiano watu wanauana, kwa sababu hawajui kuwa kuna maisha baada ya kuachana.
Ni katika mahusiano unafunga ndoa leo lakini wiki moja baadaye upo na mchepuko
Ni katika mahusiano mke wa mtu anatoka na mlinzi wa getini
Ni katika mahusiano mume anatoka na housegirl
Halafu mwisho hizi ni stori tu jamaa ameamua ku-share. Inawezekana ikawa kweli ama ni fiction tu.
Watu wapo tofauti, soma kilichoandikwa na endelea na majukumu yako, watu hawafanani, kila mmoja ana mtazamo wake.
Ni katika mahusiano watu wanauana, kwa sababu hawajui kuwa kuna maisha baada ya kuachana.
Ni katika mahusiano unafunga ndoa leo lakini wiki moja baadaye upo na mchepuko
Ni katika mahusiano mke wa mtu anatoka na mlinzi wa getini
Ni katika mahusiano mume anatoka na housegirl
Halafu mwisho hizi ni stori tu jamaa ameamua ku-share. Inawezekana ikawa kweli ama ni fiction tu.