Mpangaji wa Mikakati Dhidi ya TEC na Fr. Kitima atambulika

Mpangaji wa Mikakati Dhidi ya TEC na Fr. Kitima atambulika

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
GT

Kwa ufupi sana

1. Ni kweli ludovick ni mkatoliki lakini ni msaliti kama yuda

2.Alisoma mpaka ngazi ya frateri ambayo ni ngazi ya juu kabisa kuelekea upadri.

3. Alifukuzwa na kushindwa kupata daraja takatifu la upadre.

4 Ludovick ana kisasi na kanisa kisa kufukuzwa kwa utovu wa nidhamu seminarini.

5. Kasoma na watu wengi wanaomjua.ni kanjanja toka akiwa seminarini.

6. Alishawahi kuwa CHADEMA baadae akafungwa kwa makosa kadhaa sasa haijulikani ana kazi gani.

7. Press yake inaonekana kuandakiwa na mamlaka..

8. Ludovick anaonekana hana kazi ya maana anatangatanga tu huku na kule kupata chochote kitu

Watz Taifa limefika hatua mbaya sana haiajawahi kutokeankatika historia ya Tanzania.

IMG-20251231-WA0001.jpg
 
Anatumia rasilimali za nchi kutaka kuvuruga Kanisa Katoliki.

Lakini kwa vile limejengwa katika misingi imara atafeli tuu, ndipo atahamishia kwa wasema ukweli wengine.

Tujihadhari naye na kuchimba historia yake.

FB_IMG_1767151339620.jpg

downloadfile-2.jpg
 
Anatumia rasilimali za nchi kutaka kuvuruga kanisa katoliki. Lakini kwa vile limejengwa katika misingi imara atafeli tuu, ndipo atahamishia kwa wasema ukweli wengine.
Tujihadhari naye na kuchimba historia yake.
View attachment 3522973
Mwigulu Nchemba alimtumia Ludovick kumtengenezea Wilfred Lwakatare kesi ya mchongo ya Ugaidi sasa anamtumia mtu huyohuyo kuanzisha vita na Kanisa Katoliki. Samia baada ya kushindwa kuwatumia Waislamu wenzake uchwara kulipiga vita Kanisa Katoliki sasa ameamua kuwatumia Wakristo uchwara kufanya kazi hiyo na aliyepewa jukumu hilo ni huyu mjivuni Mwigulu Nchemba.
 
Anatumia rasilimali za nchi kutaka kuvuruga kanisa katoliki. Lakini kwa vile limejengwa katika misingi imara atafeli tuu, ndipo atahamishia kwa wasema ukweli wengine.
Tujihadhari naye na kuchimba historia yake.
View attachment 3522973
Halafu juma pili ataenda kanisani na kujifanya mwema, ila akae akijua shetani hana rafiki wa kudumu
 
Mwigulu alimwita Fr Kitima kwanza akifikiri wanaweza kumuhonga kkama Samia alivyowita Warioba. Hawa walikataa kulamba asali.

Kitima, Warioba baada ya mazungumzo wameendelea kupiga spana. Sasa hivi wameamua kumtumia huyu, pamoja na vijana wengine hapa JF, kuchafua TEC, Warioba, kanisa katoliki na wapigania haki.
 
Back
Top Bottom