The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
GT
Kwa ufupi sana
1. Ni kweli ludovick ni mkatoliki lakini ni msaliti kama yuda
2.Alisoma mpaka ngazi ya frateri ambayo ni ngazi ya juu kabisa kuelekea upadri.
3. Alifukuzwa na kushindwa kupata daraja takatifu la upadre.
4 Ludovick ana kisasi na kanisa kisa kufukuzwa kwa utovu wa nidhamu seminarini.
5. Kasoma na watu wengi wanaomjua.ni kanjanja toka akiwa seminarini.
6. Alishawahi kuwa CHADEMA baadae akafungwa kwa makosa kadhaa sasa haijulikani ana kazi gani.
7. Press yake inaonekana kuandakiwa na mamlaka..
8. Ludovick anaonekana hana kazi ya maana anatangatanga tu huku na kule kupata chochote kitu
Watz Taifa limefika hatua mbaya sana haiajawahi kutokeankatika historia ya Tanzania.
Kwa ufupi sana
1. Ni kweli ludovick ni mkatoliki lakini ni msaliti kama yuda
2.Alisoma mpaka ngazi ya frateri ambayo ni ngazi ya juu kabisa kuelekea upadri.
3. Alifukuzwa na kushindwa kupata daraja takatifu la upadre.
4 Ludovick ana kisasi na kanisa kisa kufukuzwa kwa utovu wa nidhamu seminarini.
5. Kasoma na watu wengi wanaomjua.ni kanjanja toka akiwa seminarini.
6. Alishawahi kuwa CHADEMA baadae akafungwa kwa makosa kadhaa sasa haijulikani ana kazi gani.
7. Press yake inaonekana kuandakiwa na mamlaka..
8. Ludovick anaonekana hana kazi ya maana anatangatanga tu huku na kule kupata chochote kitu
Watz Taifa limefika hatua mbaya sana haiajawahi kutokeankatika historia ya Tanzania.