Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,476
- 16,188
Mazingira ya kufumaniwa nimeyaziba hawatoweza kunifumania.
Nalog off
Hayo tu yaliyotokea ni maazingira tosha ya kufumaniwa,
zaidi ya hapo subiri akakodishe bastola!
Mazingira ya kufumaniwa nimeyaziba hawatoweza kunifumania.
Nalog off
Kumbe naweza kuwa na wachumba wawili e! Ngoja nianze msako wa pili....
Hayo tu yaliyotokea ni maazingira tosha ya kufumaniwa,
zaidi ya hapo subiri akakodishe bastola!
Mhh! Mapenz yaua. Huyo jilan
nae haoni wanawake huko mpaka aje awinde njiwa wa kwenye banda la
mwenzake. Hao ndo wale wanaovizia ma'house gal.
log off....
wachumba wawili.....
Ila ukumbuke na wewe
kulegesha risasi kwenye tundu la sikio lako ili kesi iishe. Hatutaki
gharama za kesi.
Ndiyo ukome na undumilakuwili wako.Akiniharibia lazima alipe tu.
Nalog off
Ndiyo ukome na undumilakuwili wako.
Huyo joice log off tu ubaki na yule mwingine asiejua kinachoendelea.
Hivi inakuaje mutu unaomba ushauri wa kufanya ku mubaya
kwani siku hizi nao wanaua? Nalog off
Hiyo kamba
usiombe awe mmachame!...