Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
- Thread starter
- #121
wachumba mbona tuko poa tu.Wadada wa karne hii mbona mna kazi kubwa sana ya kufanya utafiti wa wachumba zenu kabla hamjaolewa??
Nalog off
wachumba mbona tuko poa tu.Wadada wa karne hii mbona mna kazi kubwa sana ya kufanya utafiti wa wachumba zenu kabla hamjaolewa??
Na kamwe huwezi kujua labda atokee mtu wa sampuli hii ya mpangaji mwenzangu.Mkempia tunajitahidi ila inaonekana hawa jamaa wanatuzidi mipango. (Wachumba hata watatu Tunawekewa zamu bila kujijua)
ikiwezekana akukodie al shababu wakufanye mambo, umalaya ukuisheusinitukane nionee huruma Joyce kakasirika.Nalog off
he!Alshabab si watani westgate shopping?ikiwezekana akukodie al shababu wakufanye mambo, umalaya ukuishe