Mpangaji mwenzangu ni mtu mbaya

Mpangaji mwenzangu ni mtu mbaya

Sasa huyo mpangaji mwenzako hakujua alikuwa na good intentions mbona na hajafanya makusudi kwa nilivyoelewa we ndo umelikoroga ulinywe sasa!kwani ungekuwa na mchumba mmoja ungepungukiwa na nini loh!!
 
Nipe namba ya Joyce nii solve hii issue ndogo saña!!
Na login

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sitaki kuwa maskini mie! Mshahara wote uishe kwa sababu ya mbunye... nope!

hautoisha na pia hutakiwi kuishi kwa kutegemea mshahara utabaunsi mjini hapa.Nalog off
 
Sasa huyo mpangaji mwenzako
hakujua alikuwa na good intentions mbona na hajafanya makusudi kwa
nilivyoelewa we ndo umelikoroga ulinywe sasa!kwani ungekuwa na mchumba
mmoja ungepungukiwa na nini loh!!

ndio limenichanganya hapa nataka nilinywe ila sijui nilitie chumvi au sukari.Nalog off
 
Nipe namba ya Joyce nii solve hii issue ndogo saña!!
Na login

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

kha! huyu ni mai waifu wangu mtarajiwa.siwezi kukupa namba.Nalog off
 
Back
Top Bottom