Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
- Thread starter
- #101
hakuna nilichopindisha mkuu nimenyoosha maelezo ila huyu jamaa nadhani ana lake moyoni.Huyo jamaa nae kimeo, ina maana mmekula na kunywa wote pamoja kashindwa hata kumshika sura huyo mchumba wako??? hainiingii akilin nadhan kuna kitu unapindisha hapa mkuuu.....!!!
Nalog off