Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,919
- 33,502
Ng'ombe ni nyie machademamwinyi na dada ake wote wanaongoza ng'ombe.
waache wafanye wanachotaka.
Ng'ombe ni nyie machademamwinyi na dada ake wote wanaongoza ng'ombe.
waache wafanye wanachotaka.
Si chama kimerudi kwenye mikono salama?Kwahiyo Meko katuachia wachunga ng'ombe?
Mamako akifa utazikwa nae?hawakukosea, alikuwa chaguo la Mungu kweli maana kamchagua kwenda huko aliko sasa.
Ndio ujue unafiki wa binadamu hakuna hata mmoja ya waliokuwa wananadi kuwa Meko chaguo la Mungu alishikwa na uchungu wa kutaka kuzikwa nae, ila alipokuwa hai mishipa ya shingo iliwasimama kumsifia mpaka baadhi yao kufikia kumuita mungu.
Ndio hakuwa rais kama angefanikiwa kuwa rais hapo ndio tungeweza kuona anatumia vp hayo madaraka kuweza kutimiza matarajio ambayo watu walikuwa nayo.Mkuu Maalim Seif alikua na mipango ya kubadilisha mfumo mzima wa utawala, Dira na uendeshaji wa nchi, Na pia Maalim Seif sio mtu mwepesi mwepesi kama viongozi wengi wa CCM waliozoea kuishi kwa kubebana, akikuona huwezi kazi anakueka pembeneni tu. Ule mtindo wa tumbua tumbua yeye ndio alieuanzisha hapa nchini miaka ya 80's akiwa waziri kiongozi kule Zanzibar, ndio mana CCM wakawa wanamchukia sana mana walizoea kuwa wavivu na kupiga pesa tu.
Kwahiyo Magufuli amekuwa baba yako? Wapi nilipotaja mzazi wako? Mama yangu akifa sitozikwa nae ila Mama yako dada yako na mkeo wote nitazikwa nao.Mamako akifa utazikwa nae?
Wewe ni mpumbavu!Kwahiyo Magufuli amekuwa baba yako? Wapi nilipotaja mzazi wako?
Mama yangu akifa sitozikwa nae ila Mama yako dada yako na mkeo wote nitazikwa nao.
Mkuu nadhani kwa ujinga umenishinda wewe unaongoza kwani hujui hata unasema nini. Labda nikukumbushe Salim Ahmed Salim alikuwa Waziri Mkuu kuanzia 1984. Yeye ndiye aliyeenda kuwavika nguo kule Mtwara.Acha ujinga wewe Zanzibar Nyie ni wavivu Sana Tena Sana ,umwinyi mwingi sana.
Nilikuwa hapo mwaka Jana December , maduka mtu anafungua saa tatu asubuhi huo si uchuro!
Hiyo Zanzibar kwa uchapaji kazi huwezi kuilinganisha hata na Mwanza.
Halafu wazanzibar mna roho mbaya. Hamtupendi watu wa huku bara, ukiwa na kiduka mtu wa bara mramnyooshea vidole Hadi akome. Ila Nyie mmejazana bara Hadi kigoma ndani ndani mnazaliana Kama nguruwe.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Machogo ni kina nani? Wana CCM wa bara?Mnachekesha sana...nilifika Zenji baada tu ya uchaguzi na nikasikiza anavyozungumzwa,nimerudi miezi miwili nyuma nimesikia tena anavyotamkwa jipangeni upya machogo!
Sasa wewe na mimi nani mpumbavu? Soma nilichoandika uelewa kabla kujifanya umeelewa. Sikuandika walipaswa kuzikwa nae bali nilikuwa naonyesha kipimo cha unafiki wao.Wewe ni mpumbavu!
Nasema hivyo kwa sababu unataka waliokuwa wanamsapot Magufuli wangezikwa nae. Ndio maana nikakuuliza wewe mamako akifa utazikwa nae?
Machogo ni sisi Wabara. Ukitamka maneno tu unatambulika lafudhi yako na kule hawana visogo huwa wanavisugua mtoto akiwa mdogo ili aweze kuvaa kibaraghashia vyema. Kwahiyo wenye chogo kule ni WabaraMachogo ni kina nani? Wana Ccm wa bara?
Hakuna mzee aliyejiapiza,anadhihirisha tu tamanio lakeHao wazee waendelee kujiapiza tuu lakini mambo yote hupangwa na kuamuliwa Chimwaga Dodoma, kama hawaamini wasubiri waone.
Jpm alikua janga la kitaifaNa ndicho alichokifanya JPM ndio maana walionyang'anywa keki ya wizi hawaaachi kumsema vibaya. Vyeti feki ndio usiseme. Wamejaa humu na chuki zao kwa JPM. Sasa wameanza kwa Rais Mwinyi!
Yaani miezi 10 nchi ibadilike?Watu waliamini Zenji inakuwa Dubeyi au hata kuipita Singapoo, watulie dozi iwaingie waisome namba, CCM ni ile ile...
Pamoja na udogo wake huko kuna WAVIVU ILA MABINGWA WA FITINA, UNAFIKI.
Everyday is Saturday................................
Hapa kweli duh mmb magumMabando ya simu hali si hali sijui imekuaje tena wakati walisitishwa kupandisha bei
Mimba amekupatia Mzenji mmoja umeamua kuwanyea wote , sio poa kabisaAcha ujinga wewe Zanzibar Nyie ni wavivu Sana Tena Sana ,umwinyi mwingi sana.
Nilikuwa hapo mwaka Jana December, maduka mtu anafungua saa tatu asubuhi huo si uchuro!
Hiyo Zanzibar kwa uchapaji kazi huwezi kuilinganisha hata na Mwanza.
Halafu wazanzibar mna roho mbaya. Hamtupendi watu wa huku bara, ukiwa na kiduka mtu wa bara mramnyooshea vidole Hadi akome. Ila Nyie mmejazana bara Hadi kigoma ndani ndani mnazaliana Kama nguruwe.
Mlisema hivyo hivyo kipindi cha mwendazake..punguzeni mahaba au nyie sio watanzania hamna ndugu mijini na vijijini.Samia yuko vizuri labda wewe akili yako ni ngumu ku interpret economic strategies. Hakuna sera ya uchumi inayokupa majibu overnight
Mwisho wasiku mtakuja chimwaga tuwapatie rais..kupe nyinyi.Mnachekesha sana...nilifika Zenji baada tu ya uchaguzi na nikasikiza anavyozungumzwa,nimerudi miezi miwili nyuma nimesikia tena anavyotamkwa jipangeni upya machogo!
Ila ukiwa sio mvaa kobazi hupati kazi..sijui kwa nini?Majengo mengi ya pale yalijengwa na Wapemba kwa mkataba kwamba baada ya miaka kumi wakabidhiwe wenyewe na ndivyo ilivyofanyika. Bakhresa ambaye amejenga viwanda toka Tanzania mpaka nchi za jirani ni Mzanzibari ambaye amewaajiri maelfu ya Watanzania anawezaje kuwa mvivu?
Wakati mwingine tunapaswa kutumia alili ya kuzaliwa.
Mafisadi wamenuna kweli kweli. Udalifu sifa mama serikali inayowajibika kwa wananchi.Mwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi