Tunatofautiana Schools of Thought. ..siwezi kukuita kima bali ndugu yangu. Ndugu yangu naomba ujue tu Dk. Mwinyi ni kiongozi makini na mwenye vision kubwa na Zanzibar.we kima kweli.. hebu rusha picha hapa ya hiyo bandari ya mpiga duri... Mwinyi sasa hivi anachoweza ni kuhutubia misikitini tu ndio maana anaitwa Shehe Nyundo