Mpaka sasa sijui sababu ya kuachwa

Mpaka sasa sijui sababu ya kuachwa

Ukweli ndiyo huo. Unajua sisi wanaume tunapokuwa kwenye shida huwa tunahitaji faraja kutoka kwenu. Kimawazo zaidi namna ya kujikwamua kutoka hatua moja kwenda nyingine. Sasa badala ya kutufariji mnaanza dharau na kiburi.

Hapa unakutana na maneno makali kama panga yanayokujeruhi kiakili mpaka kwenye moyo unajiuliza haya maneno naambiwa mimi au mwingine? Kuna wanaume huwa wanatoka kazini mapema mfano saa 12 jioni lakini utakuta anaenda nyumbani saa 5 usiku ili kuepuka gubu la mkewe.

Hapo unaoga, unakula na kulala. Asubuhi kazini hadi jumapili unaenda kumalizia viporo vya kazini.
 
Unalipiza ili iweje? Kwani huko nyuma hamkufanyiana mema? Nyamaza akikumbuka Wema wako atakutafut
 
Tukiwaambia msiwafungulie mapochi yenu kabla hamjaoana mnatuona wajinga.

Kiranga komo!
 
I,agreed with you.... Imagine Mtaka hela alimuambia jamaa ina maana una omboleza miezi 6....bila ya kujua huyo mtu wake kama yupo sawa ki ppsychology baada ya kufiwa na mama na babu yake au la....

Kuna watu huwa wanafikia hata hatua ya kutaka kujiua baada ya kuwapoteza wazazi wao 。。。。huwa inategemea na malezi yaliyo wakuza na jinsi walivyo kuwa karibu na hao wazazi....so Mtaka hela alipaswa kutumia busara sana katika maneno Yake walau aweze kumtejesha mtu wake katika common sense

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli prngine nilikosea katika kauli lkn kuhusu kumwambia yaani toka mwezi wa sita bado unaomboleza tuu sikua nimemwambia direct, nilikua najiwazia mwenywe kichwani .
 
Mkuu,
You have explained enough and you have hit the nail on its head.
But a good lesson we can give to mtakahela is; You can slip your leg and control your body balance easily to avoid falling down, but you can slip your tongue never will you remember the words so mdomo wake kama ulivyomweleza.
Pesa ya mwanamke si kama yetu ya mwanamke ina miba!
Asalam aleikhoum.
Nimekuelewa mkuu,
 
Tukiwaambia msiwafungulie mapochi yenu kabla hamjaoana mnatuona wajinga.

Kiranga komo!
Kuoana ni nini wewe hujaona watu wa betray watu waliowaoa kwa miaka 10? Mapenzi ni kitu hakina formula hivyo usitegemee kuwa hivi itakuwa hivi siku zote ni kumwomba mungu iwe salamav tu
 
Mkuu,
You have explained enough and you have hit the nail on its head.
But a good lesson we can give to mtakahela is; You can slip your leg and control your body balance easily to avoid falling down, but you can slip your tongue never will you remember the words so mdomo wake kama ulivyomweleza.
Pesa ya mwanamke si kama yetu ya mwanamke ina miba!
Asalam aleikhoum.
Waaleykum salam chief.....Asante kwa kujazia nyama vyema...

Bila shaka mtaka hela atakuwa amepata nafasi ya kujifunza kwa kina kw kupitia hili bandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
All i can say POLE... mwanaume kiumbe adimu kuwah kutokea dunian...naomba nirudie, poleee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wanawake mahala pekee tunapokosea ni kwenye maneno, huwa tuna maneno sana hasa pale tunapowasaidia wenzi wetu wanapokwama,

I'm not supporting him kwamba alikuwa sahihi kutokujishughulisha, Ila nina wasiwasi sana na kauli zako ulizotumia wakati unamkumbusha majukumu yake!

Inawezekana pia kakupa mtihani mdogo wa kupima kiwango chako cha uvumilivu and you came out with your true colours!

Mwanaume hata umsaidie kiasi gani cha pesa, kitakachompa thamani ni namna gani utajali utu wake na heshima unayompatia na hii ni tofauti kabisa na sisi wanawake!
Ushauri murua kabisa.. Kudos kwako mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I loved him.Nimeaddress ishu ya age yake sababu niliamini kwamba kwa umri wake hawezi kufanya mambo ya kitoto
Kuhusu familia , watoto , mke na mengineyo nayafaham vzr
Mama yangu mdogo alimuamini baba mdogo kwa vigezo kama vyako ila leo ameisha juta na wametengana.

Wanawake mnaweza kuwa mnakosea.

umri haujawahi kumtuliza mwanaume lijali, bali wasio lijari au lijali waliokuwa commited.

Find a commited real man or an impotent one

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom