Mpaka sasa sijui sababu ya kuachwa

Mpaka sasa sijui sababu ya kuachwa

Sina imani , pengine shangazi zake wanajua kinachoendelea kwahy wanaweza kuwa wananichora tuu
Bora nimalizane nae mimi na yeye
Usiingie kwenye chumba cha mtihani na majibu yako.
 
SweetieLee,
facts sana umeongea mkuu, yawezekana anakauli ngumu ambazo alitoa mtu akaona akae kimya kwa muda na bahati mbaya sasa anataka kulipiza kisasi, ilihali mkuu yawezekana katupa mtihani wake wa mwisho kwa bi dada huyu
 
unakila sababu ya kuona hii ni changamoto katika mahusiano tenamie naona ni changamoto ya kawaida, kifaacho ni kumpa muda then akirudi mtafute kaa nae chini uzungumze nae kwa upole akueleze shida ni nini na akweleze yaliyo moyoni mwake na hapo ndipo utagundua kua kaamua kukuacha ama la! ikitokea kaamua kupiga hatua peke yake yakufaa kuwa mpole na kumwacha aende na maisha yake nawe uende na maisha yako salama na visasi mwachie Mungu pekee maana hata ukilipiza hutofaidika asilani zaidi yakumkosea Muumba wako
 
Ukilipiza kisasi wewe na wewe nyote hamtakuwa tofauti, maneno yote hasi unayoyasema kuhusu yeye - yote yatakurudia wewe, na kwamba na wewe utakuwa mbaya kama alivyo mwenzako. Kubali yaliyotokea, ichukulie kama fursa ya kujifunza kwamba usikubali hali hiyo ikutokee tena. akini kwa kuwa hakuna maelezo yoyote ya uhakika yenye kuthibitisha kwamba amekuacha inabidi kwa utulie tu, uendelee na maisha yako, kisasi hakitakusaidia.
 
viperwa,
Wakati mwingine hisia zikitawala unashindwa ku reason nashukuru kwa mchango wako.
Kuna suala la mila umegusia kitu ambacho sikua nimekitilia maanani mpaka nafika umri huu huwa najua msiba ukishaisha basi hakuna muendelezo mwingine
Ahsante mkuu
Ubarikiwe
 
SweetieLee,
atakayekuoa sidhani kama atakuacha na akikuacha ni chizi aliyerogeka tena,we ni wyf material,shuhudia hata hizo likes nyingi ni zetu kakas which means tumekukubali saana,kama hujaolewa please ni inbox tuyajenge serious daah i wish wanawake wote wangekuwa na akili,busara,hekima kama huyu basi duniani pangekuwa mahali salama pa kuishi,hakuna mwanaume jeuri ktk mwanamke mnyenyekevu
 
Back
Top Bottom