Mpaka sasa sijui sababu ya kuachwa

Mpaka sasa sijui sababu ya kuachwa

facts sana umeongea mkuu, yawezekana anakauli ngumu ambazo alitoa mtu akaona akae kimya kwa muda na bahati mbaya sasa anataka kulipiza kisasi, ilihali mkuu yawezekana katupa mtihani wake wa mwisho kwa bi dada huyu
Upo sahihi mkuu,
Kama mapenzi yamekuwa magumu, unaaga tu unaenda kwa amani,
Usilipize, karma never miss an address.!!
 
atakayekuoa sidhani kama atakuacha na akikuacha ni chizi aliyerogeka tena,we ni wyf material,shuhudia hata hizo likes nyingi ni zetu kakas which means tumekukubali saana,kama hujaolewa please ni inbox tuyajenge serious daah i wish wanawake wote wangekuwa na akili,busara,hekima kama huyu basi duniani pangekuwa mahali salama pa kuishi,hakuna mwanaume jeuri ktk mwanamke mnyenyekevu
Woow'
Shukrani sana mkuu,
Usinisifie hivii nitaringa bure.!
 
Hela ya mwanamke nafikiri huijui. Ni bora usipokee hela au kuomba hela kwa mwanamke. Hayo maneno utakayoambiwa utatamani usingemjua huyo mwanamke. Utasimangwa hata kama mpo chumbani mashine imesismama 4G itasinyaa na hamu ya mapenzi inakata.
Jamaa hana bahati kweli.. anampata dem cash madam bado anamuacha kirais rais hivyo nimeamini upele humkuta asiye na kucha.
 
Anza upya,kaa kimya usimtafute tena,huyo anachezea moyo wako,utapoteza muda na thamani yako bure.kuhusu wazazi kaa na mama yako mwambie ukweli pia omba ushauri utasimama tena


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela ya mwanamke nafikiri huijui. Ni bora usipokee hela au kuomba hela kwa mwanamke. Hayo maneno utakayoambiwa utatamani usingemjua huyo mwanamke. Utasimangwa hata kama mpo chumbani mashine imesismama 4G itasinyaa na hamu ya mapenzi inakata.
Jamani
 
madamu bahati,
Sijamvulia bali tulivuana nguo tena kama wapenzi wengine
Halafu usiwe too general mtu mmoja ukajumuisha wanawake wote ETI nimegundua 😏😏
When it come to love don reason sababu ya kumpenda , wewe wapembeni pita 👉👉
 
Njoo kwangu kuna boya mwenzako kaniacha kifala aiseee yaani hapa nina hasira ngoja nimalize K-vant yangu Daaah...Kweli December hii naenda kaskazin mwenyewe aisee daah poa tuu
 
Njoo kwangu kuna boya mwenzako kaniacha kifala aiseee yaani hapa nina hasira ngoja nimalize K-vant yangu Daaah...Kweli December hii naenda kaskazin mwenyewe aisee daah poa tuu
Mie vant sasa hivi hapana mkuu, kunywa kwa starehe ila ukinywa kuondoa stress ndio utaharibu
 
If you have spare time please join the social welfare desk for counselling you can help the society.
Today's message of Comfort
 

Attachments

  • images (24).jpeg
    images (24).jpeg
    19.2 KB · Views: 13
Mgeni wa Jiji,

Ahsante mkuu,
Ndugu zake wakaribu ninao wasiliana nao sana ni shangazi zake
Na pia sijawahi kuwadokezea kuhusu mabadiliko ya mtoto wao.
Basi ulipaswa kuanza na kuwadadisi ndugu..na marafiki zake. Ikiwezekana pia unapaswa kumfuata huko huko alipo iliweze kujua kinacho mfanya awe hivyo kinaga ubaga...

Huwenda ikawa ana msongo wa mawazo..hakuna kitu kibaya Kama hicho katika maisha..msongo wa mawazo huwa una sababisha kukosa mpaka nguvu za kiume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela ya mwanamke nafikiri huijui. Ni bora usipokee hela au kuomba hela kwa mwanamke. Hayo maneno utakayoambiwa utatamani usingemjua huyo mwanamke. Utasimangwa hata kama mpo chumbani mashine imesismama 4G itasinyaa na hamu ya mapenzi inakata.
I,agreed with you.... Imagine Mtaka hela alimuambia jamaa ina maana una omboleza miezi 6....bila ya kujua huyo mtu wake kama yupo sawa ki ppsychology baada ya kufiwa na mama na babu yake au la....

Kuna watu huwa wanafikia hata hatua ya kutaka kujiua baada ya kuwapoteza wazazi wao 。。。。huwa inategemea na malezi yaliyo wakuza na jinsi walivyo kuwa karibu na hao wazazi....so Mtaka hela alipaswa kutumia busara sana katika maneno Yake walau aweze kumtejesha mtu wake katika common sense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unakila sababu ya kuona hii ni changamoto katika mahusiano tenamie naona ni changamoto ya kawaida, kifaacho ni kumpa muda then akirudi mtafute kaa nae chini uzungumze nae kwa upole akueleze shida ni nini na akweleze yaliyo moyoni mwake na hapo ndipo utagundua kua kaamua kukuacha ama la! ikitokea kaamua kupiga hatua peke yake yakufaa kuwa mpole na kumwacha aende na maisha yake nawe uende na maisha yako salama na visasi mwachie Mungu pekee maana hata ukilipiza hutofaidika asilani zaidi yakumkosea Muumba wako
Geuka pande zote na ule wa mlimani umshukuru kwa kukutanisha mama yako na baba yako wakafanikiwa kukuzaa.
Watu hawaelewi mahusiano ni kitu cha makubaliano au tuseme kiswahili ni Roho hiari, sio nguvu hayahitaji visual marungu bastola au bunduki.

Mtu akisema ameshiba hataki yenavmpe nafasi na Uhuru wake aende kwa amani.
Wazungu wanasema you can lead a horse to a stream but you cannot force it to drink the water.
 
Good Lord...!!
don't you think this is too huge for Me..!!
Hapana at times reasoning does not depend on age.
I have found your reasoning to be vivid you understand and point the truth without biasness to see whether men should be criticised or women the truth remains the truth.

I commend you so much for your good education too.
Bwana akubariki sana.

Nimetembea nchi nyingi nimefanya kazi sehemu nyingi though naweza kuwasifu wanawake wa Nchi kama Jamaica, Equatorial Guinea, Uganda, Namibia to mention a few Tanzania ni wachache sana hata wakisoma wanajiogopa they are not self expression able na hawapendi sana ukweli.

I am sorry to mention this, even the case of this lady with her baharia has no truth in it so most of life in our country is full of bla bla and bluffing
 
hearly,
Mkuu,
You have explained enough and you have hit the nail on its head.
But a good lesson we can give to mtakahela is; You can slip your leg and control your body balance easily to avoid falling down, but you can slip your tongue never will you remember the words so mdomo wake kama ulivyomweleza.
Pesa ya mwanamke si kama yetu ya mwanamke ina miba!
Asalam aleikhoum.
 
Back
Top Bottom