moudytz
Senior Member
- Sep 10, 2017
- 149
- 183
SweetieLee,
kuna wanawake wana akili sana👏👏
hata mimi nina wasiwasi na maneno ya bi.dada njisi alivyo kuwa mkumbusha jamaa kuhusu majukumi yake hakutumia maneno mazur
wanaume hatupend kejel
kuna wanawake wana akili sana👏👏
hata mimi nina wasiwasi na maneno ya bi.dada njisi alivyo kuwa mkumbusha jamaa kuhusu majukumi yake hakutumia maneno mazur
wanaume hatupend kejel