Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

[QUOTE =
🙌🙌🙌🙌🙌 She turn me into play boy soon as possible...
/QUOTE]
Huyo keshakupima kakuona unamtetemo kwake man(HIYO KITU MBAYA MAN) , Nenda kawe player tu MAN unaogopa nini mtoto wa kiume!! Tena utapata buyu moja limejaa asali tamu sana ya nyuki wadogo ila isisahau CONDOMS MAN, PLAY SAFE FOR HER AND SELF LOVE, Na ukimaliza njoo utupe Feedback kwasababu confidence utakayokuwa umeipata ITAMMALIZA SANA MZEE NIAMINI MIMI ZEE LA NYETI!!
 
[QUOTE =
🙌🙌🙌🙌🙌 She turn me into play boy soon as possible...
/QUOTE]
Huyo keshakupima kakuona unamtetemo kwake man(HIYO KITU MBAYA MAN) , Nenda kawe player tu MAN unaogopa nini mtoto wa kiume!! Tena utapata buyu moja limejaa asali tamu sana ya nyuki wadogo ila isisahau CONDOMS MAN, PLAY SAFE FOR HER AND SELF LOVE, Na ukimaliza njoo utupe Feedback kwasababu confidence utakayokuwa umeipata ITAMMALIZA SANA MZEE NIAMINI MIMI ZEE LA NYETI!!
Mkuu mbona umeniita mimi ZEE LA NYETI..?

Kuhusu kutafuta mwingine nimeahidi tafanya hivo ila mpaka nimfukunyue kwanza
 
Achana na mapenzi yasije kukuua mdogo wangu
Nateseka sasa...
Nafanya nn ili nimpuuze japo kuna huyu mmoja ananikubali ila mimi daah simwelewi kabisa hata nikisema ni focus nae nashindwa...

Serious am gonna to be crazy
 
Nateseka sasa...
Nafanya nn ili nimpuuze japo kuna huyu mmoja ananikubali ila mimi daah simwelewi kabisa hata nikisema ni focus nae nashindwa...

Serious am gonna to be crazy
Ndivyo ilivyo kadri unavyojipendekeza ndivyo utakavyoumia zaidi, jilazimishe kumpotezea
 
Mkuu ananiendesha sana huyu mtu kwa sasa yupo mkoa...
Na kiukweli sijawahi ku mla ila sasa nina mpango huo nataka nimkamie alafu ndo nianze kuzingua na mimi..

Baada ya hapo nitasambaza upendo wa namba kwa wenzangu wote
Kumbe ujamla ndio maana demi anakuletea maringo demu ukimpiga machine vizuri lazima akuheshimu mimi demu wangu nikimwambia muda wowote aje anakuja hata anaumwa
 
Back
Top Bottom