Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,103
- Thread starter
- #181
Japo mambo sio rahisi kama unavyozaniaUtaelewa vizuri siku una watoto naye 2 na she doesn’t care, achana naye, Kama ujaoa analeta stress hizo, imagine una watoto naye 2 na ndoa ya Miaka 7