lestone
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 430
- 754
Tena kitita cha shilingi miatano 😢😟Hela unampa?
Tena kitita cha shilingi miatano 😢😟Hela unampa?
Nakupenda ndio maana nakwambia ukweli.Mmmh mkuu mbona umekamia hivo
Pesa natuma sana madam...Tuone
Daaah aisee asante sana bint...Nakupenda ndio maana nakwambia ukweli.
I am a woman , i know how i act when i am not interested/no longer interested!
Ngoja kwanza nikae mbali ila mpaka nifanikishe kula tunda kwanza ili nianze kuzinguaNdivyo ilivyo kadri unavyojipendekeza ndivyo utakavyoumia zaidi, jilazimishe kumpotezea
Nakusubiri ujueukitaka nitakusimulia huko huko kisa kizima
Daaah oky oky mkuu sasa hapa ngoja nifanye kweli mana yupo mkoa hukooo daahKumbe ujamla ndio maana demi anakuletea maringo demu ukimpiga machine vizuri lazima akuheshimu mimi demu wangu nikimwambia muda wowote aje anakuja hata anaumwa
Siwezi mkuu siweziii jua hivoBado hujapiga chini tu hayo mahusiano Mkuu?. Kaa kimya endelea na mambo mengine.
Aaah kumbe hata tunda hujala!!! Au kakulia vyako vingi?Ngoja kwanza nikae mbali ila mpaka nifanikishe kula tunda kwanza ili nianze kuzingua
Nikajua mmeshafanya kumbe bado?Daaah aisee asante sana bint...
Ngoja nisikie sasa aiseeee.
Ila ujue nini nataka nikushirikishe kitu
Hivi ukute anafanya yote haya kwa kuwa bado sija jigijigi nae nini
Vingi mno yupo mkoa hukooooo..Aaah kumbe hata tunda hujala!!! Au kakulia vyako vingi?
Ni MISUMARI tu....Nikajua mmeshafanya kumbe bado?
Eenhe basi jaribu kumuomba, ukipewa ukatuwakilishe vizuri wana JF!
foleni samahaniNakusubiri ujue
Duuh mbona dry hivoHupendwi
Promise me hutoniumizafoleni samahani
Kwahiyo kinachokuumiza ni vitu vyako ila si kwamba umefall?Vingi mno yupo mkoa hukooooo..
Daah ujue nimeliwa kizembe acha tuu
Ok, huyo mwanamke hana hisia na ww hakupendi na huwezi kumlazimisha akupende. Cha muhimu ni kumuacha kwa namna utayoona inafaa utafute atakayekupenda. Kumbuka mwanamke akipenda kweli lazima akujari n.k.Duuh mbona dry hivo
Ku fall nime fall normal tuu na nataka ku mshape awe mama la mama ila sasa naona kwa comment hzi daaah wananichanganya kweli kweli anKwahiyo kinachokuumiza ni vitu vyako ila si kwamba umefall?
Siku ya kumla niite hawezi kukusumbua hivi
Hamna mama la Mama humo acha kujijaza matumaini we kinachokuuma ni kuliwa hela zako na k hujapewa basiKu fall nime fall normal tuu na nataka ku mshape awe mama la mama ila sasa naona kwa comment hzi daaah wananichanganya kweli kweli an