Dereva wa Kirikuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 751
- 624
Sawa Msimamizi Wa Uchaguzi Kinondonii..🤣🤣😂😂😂😂
Nyumbu mnandoto za mchana kweupeee
Nyumbu mnandoto za mchana kweupeee
Baada ya CCM kumpitisha Gwajima , nina uhakika Mdee atashinda uchaguzi katika Jimbo hilo tena kwa kura nyingi zaidi safari hii kuliko ilivyokuwa mwaka 2015 unless haki isitendeke.
Ukiacha watu kuichoka CCM, Gwajima bado ataponzwa na kauli zake zilizoko mitandaoni na uzuri hapa Dar wenye smartphone ni wengi, hivyo itakuwa rahisi watu ku-share clips zake.
Sababu nyingine itayochangia ashindwe ni kutokuwa chaguo la wana-CCM bali amekuwa chaguo la viongozi wa CCM kwani hakushinda katika kura za maoni, hivyo ni wazi wako baadhi ya wana-CCM ambao hawatampigia kura..
Kingine,waumini wa Gwajima ni sehemu ndogo sana ya wakazi na wapiga kura wa Jimbo la Kawe, hivyo advantage ya yeye kuwa kiongozi wa dini ni ndogo sana kumbeba bila kusahau ukweli kuwa watanzania hawana sana utamaduni wa kuchagua mtu kwasababu tu ni kiongozi wa kidini.
Kuanzia leo nakuendelee tutarajie kuona clip za Gwajima zikiibuka upya na kwa kasi mitandaoni.
Halima huko aliko bila shaka atakuwa anachekelea kupata mpinzani ambae teyari ameshajiharibia kwa kauli zake mwenyewe.
Muda utaongea.
Gwaj n karata nzuriSawa Msimamizi Wa Uchaguzi Kinondonii..🤣🤣😂😂😂😂
Nyumbu mnandoto za mchana kweupeee
Jiandae tuu maana usiempenda kajaKwanza waumini wa Gwajima sio wakazi wa Kawe Kwa ivyo kujaza kanisa lake aina maana kujaza wapiga kura.
Wajumbe wa Kawe CCM wanaweza kuwa watu wa ovyo lakini si wapiga kura wa Kawe.
Gwajima sio tu atashindwa Kawe mchana kweupe ata kumtumia kwenye campaign Dar za CCM ni kuichefua jamii ya waisalamu na kitendo kitakacho wapotezea baadhi ya wapiga kura.
Ata mimi ningekuwa naishi Kawe ningeenda kulinda kura za Mdee.
I can’t lie hate this Gwajima guy with all my zest.
Alishasafishwa na vyombo husika, wewe ni nani hata umseme?Tupien kale kavideo tukumbushe
Umeongea vizurihata lisu hana ushawishi kumzidi gwajima huo ndo ukweli wananzengo
Mjiandae na nyie tunataka uchaguzi wa wazi safari hii ngoja Membe na Lissu waungane tuone ngebe ya CCM.Jiandae tuu maana usiempenda kaja
Tumtakie mafanikio mema huko BAWACHAKuanzia leo namtakia mafaniko mdee. Wajumbe tumeangushwa
Oktoba siyo mbaliGwajima ana kashfa yenye ushahidi na makandokando mengi, Mdee ana kashfa za kusemwa tu zisizo hata na chembe ya ushahidi.
Gwajima angeweza kushinda jimbo la Mbagala au Ubungo huko, sio jimbo la Kawe ambalo lina wasomi wengi na watu wengi wenye uwezo wa kifedha!!!!
Kuna mdini zaidi ya Gwajima nchi hii na mtu aliekosa maadili kama huyo old reprobate.Pambaneni na hali zenu, kitendo cha kuanza kutumia udini hizo ni dalili za kushindwa haitasaidia watanzania ni waelewa.