johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,121
Nakumbuka mh Halima Mdee alilia sana pale Kawe huku akitoa shahada feki za kupiga kura alizodai wamezikamata kwa wafuasi wa askofu Gwajima mgombea Ubunge wa CCM
Ilikuwa vigumu sana kuthibitisha madai ya Mdee kutokana na Udhaifu wa ushahidi wake
Leo nimemuona Msemaji wa Hamas mh Osama pale Al jazeera akionyesha video clip ya wanajeshi wa Israel Wakiwa wamebeba Mabox yenye Zana ambayo baadae walidai Zana hizo ni za Hamas na wamezikuta Ndani ya Al Shifa Hospital
Osama aliweza kuonyesha hadi serial number ya Zana hizo kuthibitisha madai yake
Chadema tumeni Watu huko Hamas mkajifunze
Jumaa Mubarak
Ilikuwa vigumu sana kuthibitisha madai ya Mdee kutokana na Udhaifu wa ushahidi wake
Leo nimemuona Msemaji wa Hamas mh Osama pale Al jazeera akionyesha video clip ya wanajeshi wa Israel Wakiwa wamebeba Mabox yenye Zana ambayo baadae walidai Zana hizo ni za Hamas na wamezikuta Ndani ya Al Shifa Hospital
Osama aliweza kuonyesha hadi serial number ya Zana hizo kuthibitisha madai yake
Chadema tumeni Watu huko Hamas mkajifunze
Jumaa Mubarak