Kila Mtanzania alimsikia Hayati Magufuli katika hotuba zake nyingi akisema "nimetoa sadaka Maisha yangu kwa ajili ya Watanzania wanyonge" lakini pia alieleza kilichowapata Marais wa Afrika waliosimama imara kutetea Rasilimali za Nchi zao.
Sasa basi, mimi na wewe kama Watanzania, tunaanzaje kukaa nyuma katika mapambano haya ya kuikomboa Nchi yetu kutoka mikononi mwa watu wanaonuka harufu kali ya UFISADI na matumizi mabaya ya mali za umma?
Sasa basi, mimi na wewe kama Watanzania, tunaanzaje kukaa nyuma katika mapambano haya ya kuikomboa Nchi yetu kutoka mikononi mwa watu wanaonuka harufu kali ya UFISADI na matumizi mabaya ya mali za umma?