Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,320
24,189
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Inaonekana katika ukoo wa panya, kwa kipindi kile, yeye ndiye alikuwa na unafuu
 
Lazima kuwa katili dhidi ya mapanya.

Fyekelea mbali mafisadi mpaka yakachanganyikiwa yakaamua kumdondosha

Chuma kile, hakikutepeta mpaka umautiii. Ni mwendo wa kukaza kamba kweli kweliiii ikibidi hadi uhai kutoka!

Ametufundisha somo kubwaa kwamba mafisadi na majizii yanahitaji kushughulikiwa kwa moto mkalii. Peleka moto kweli kwelii bila huruma.

JPM CHUMA!!!
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
hujafikilia criticaly, umewaza kwa ku trace background. Ukiuliza imekuwaje hadi akawa Rais, ni ile nyota kukubalika kwa falsafa zake , maono yake ambapo waliompinga wengi walikua working classes ambao si kundi kubwa la wananchi, so kundi kubwa liliweza kuyatambua mazuri yake na ndomana akawa Rais.

Walimchagua kwa vigezo vikuu vitatu. kwanza ubabe wake , utendaji wake wizara ya uvuvi na utendaji wake wizara ya uchukuzi, ukizungumzia madudu , ni kweli he was not perfect lakn jamii ilimjua kwa postivity zake na maono
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mdgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?
Hili swali kwa sasa ni bypassed by events, ila kwavile umeuliza ilikuwaje, wakati tayari ameisha kuwa halina maana tena huku ni kuzidi tuu kumsema vibaya marehemu!.

Haya wewe unayouliza leo, akina sisi tuliyauliza tangu 2014 kabla hajawa na tukayaleta humu tukajadili, sababu za kwanini ni Magufuli pia nilizisema humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli ila zinaweza kusoma na watu wenye jicho la tatu pekee! Hakika Pasco alikuwa sahihi kuhusu Magufuli na wasio na jicho la tatu walibaki kuuliza Kwanini Pasco wa JF anaficha sababu alizoambiwa 2014 kuwa zitampeleka Magufuli Ikulu?

Maadam ametangulia mbele ya haki huu ni ushauri wangu kwako Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
Back
Top Bottom