Asha unasema eti mimi nimeanzisha kuwa Mpaka Kieleweke ni Mbowe? Vipi ukitoa ushaidi mkuu ili nikubali kukosolewa,
Ninasubiri ushahidi wa mimi FMES, kuanzisha kuwa Mpaka Kieleweke ni Mbowe, ukiuonyesha mkuu nitakubali kosa, ila kama huna ushahidi naomba useme wazi kuwa huna na ningewaomba Mods wakushughulikie kwenye hili iwapo huna ushahidi na ukiwa nao naomba Mods pia wanishughulikie ipasavyo, maana si unajua mimi ni jina moja hapa na siku zote huwa niko responsible na kila ninalosema, sijawahi kukimbia kivuli changu au maneno yangu!
Otherwise, sisi wote hapa ni watu wazima kama Mpaka Kieleweke sio Mbowe, hivi ni kweli wewe Asha ndiye uliyepaswa kumuongelea? Yaani yule mtu mzima hawezi kusema mwenyewe? Halafu mbona ni wengi hapa JF waliowahi kusingiziwa majina na mimi nikiwa mmoja wapo mbona hukujitokeza kutetea, WHy huyu Mpaka Kieleweke?
Mkuu hivi kweli nia na madhumuni yako on this topic hasa ilikuwa ni nini, kutuambia au kutotuambia? Maana mkuu sio siri kuwa nimeshitushwa mpaka kwenye mifupa knowing aliyeko nyuma ya hili jina la Asha, lakini nasubiri ushahidi mkuu! Ili baadaye nikuonyeshe jinsi Chinga alivyoitwa godoro la muungwana, jinsi Chinga alivyoitwa kifaa cha muungwana, aliponitumia huu ujumbe niliwamuambia kuwa mezea tu kuna siku yatageuka haya!
Mkuu wangu maneno yako ni mazuri sana tena mazito, ila yamekuja very late kwa sababu the damage has been done kwa watu wengi sana hapa JF na hii tabia, ambayo imekuwepo hapa kwa muda mrefu sana,
Nashangaa leo kwa mara ya kwanza umekuuma sana vipi kwani mkuu? Hivi unajua kuna watu mapka waliacha kuingia hapa kwa kutajwa majina yao? Mbona kwenye kusema jina la Chinga na kazi yake Foreign wakati fulani hapa kuna hata watu wanaoheshimika hapa walishiriki na hukulalamika? Why leo mkuu?
Unajua ninahisi kuwa leo hapa JF kuna jambo, lakini binafsi nimeshitushwa sana na haya ya leo! Msimamo wangu mkuu siku zote uko wazi tena very clear, kuwa anayeanza ni lazima nimjibu na huwa ninatoa tahadhari mapema, kuwa kama huna hoja acha maana ukianza matusi ya nguoni kwa huwa sina tatizo kujibu, kwa sababu baaada ya kulazimishwa sana kuhusu my ID, nikajifunza dawa ni moja tu nayo ni kutafuta ID za wale wanaonichokoza na believe me ninazo, kwenye hilo I have no respect,
kama ni sheria iheshimiwe kwa wote sio akisemwa jina Chinga ni sawa ila akisemwa Kileweke basi iwe tatizo
ndugu zangu mimi naomba msaada kwenye tuta,kutokana na comments nyingi hapo juu napata impression kwamba Bwana Mbowe is highly reverred humu ndani ya JF,that is fine with me,lakini comments nyingine mbona zinaandikwa kana kwamba JF ni tawi la CHADEMA? do we rebrand this blog to CHADEMAFORUMS? ni kijiswali tu!
nimekupata kiongozi,ahsante kwa kuonyesha njia!Inategemea umesimama upande gani wakati umeona hiyo "mbowe is highly revered humu ndani"? Mtu mwingine akisimama upande mwingine anaweza kusema inaonekana yeye "the most targeted politician in JF" kiasi kwamba tunaweza kuiita hii Anti-Mbowe forum. What do you think about that part? So, pinga unachopinga, tetea unachotetea, everything else will be sort out along the way, hapendwi mtu hapa, haogopwi mtu na hapendelewi mtu.. lakini pia haonewi mtu..!
Hiyo ndiyo mbaya zaidi,ila mie Namfahamu vizuri mpaka kieleweke,ni siyo Mbowe!nani anayetaka kujua nani ni nani? Huu mtindo wa kujaribu kufuatilia hoja baada ya kujua msemaji ni nani unapoteza sana ladha ya hoja. Maana unasoma hoja huku ukiwa na preconceived ideas na prejudice tayari.. kumbe unayemfikiria ndiye kumbe siye!
Pamoja na kuwa kauli mbiu ya hamasa ya Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke ilibuniwa na Mwenyekiti Mbowe wakati wa kampeni, nataka kukanusha hapa kwamba mtu anayejiita Mpaka Kieleweke hapa Si Mbowe. Pamekuwa na jitahida sana za kumhusisha mwenyekiti wetu na Majina mawili hapa mtandanaoni, wakati Chinga alianzisha uzushi kwamba Mbowe ni Philimom Michael, Bwana FMES yeye ameanzisha Mpaka Kieleweke ni Mbowe. Nimekuwa nikifuatilia mienendo na michango ya watu hawa wawili na napenda niweke wazi kwamba hakuna Mbowe kati ya watu hao wawili.
Philemon Michaeil ni mwanahabari ambaye mpaka sasa yuko Dar es salaam.
Mpaka Kieleweke ni kada wa CHADEMA anayezunguka kati ya Dar es salaam na Dodoma.
Hata wakati ambapo mwenyekiti Mbowe akiwa nje ya nchi hawa mabwana wawili wameendelea kutoa michango yao kutoka Dar es salaam. Mathalani kwa sasa Mwenyekiti Mbowe yuko kikazi mashariki ya kati lakini bado mpaka kieleweke anaandikia michango yako toka Dodoma.
Kwa mchambuzi yoyote wa michango ya watu humu atagundua kuwa michango ya Mpaka Kieleweke haiendani kabisa na maoni na misimamo ya Bwana Mbowe katika masuala mbalimbali na kwa ujumla bwana Philemon Michael hana undani wa masuala ya kisiasa hususani yale yanayoihusu CHADEMA.
Nawakatia kheri
Asha
ndugu zangu mimi naomba msaada kwenye tuta,kutokana na comments nyingi hapo juu napata impression kwamba Bwana Mbowe is highly reverred humu ndani ya JF,that is fine with me,lakini comments nyingine mbona zinaandikwa kana kwamba JF ni tawi la CHADEMA? do we rebrand this blog to CHADEMAFORUMS? ni kijiswali tu!
Inategemea umesimama upande gani wakati umeona hiyo "mbowe is highly revered humu ndani"? Mtu mwingine akisimama upande mwingine anaweza kusema inaonekana yeye "the most targeted politician in JF" kiasi kwamba tunaweza kuiita hii Anti-Mbowe forum. What do you think about that part? So, pinga unachopinga, tetea unachotetea, everything else will be sort out along the way, hapendwi mtu hapa, haogopwi mtu na hapendelewi mtu.. lakini pia haonewi mtu..!
Ama kweli, mkuki kwa kondoo!
Kuhamanika kwako ni ishara kwamba ujumbe umefika. Msumari unachoma kote kote kwa kweli
Hebu kumbuka mjadala wa Chacha Wangwe kusimamishwa! Ni wewe uliyeanza kusema unajua nani yuko nyuma ya jina la Mpaka Kieleweke.
Yawezekana mimi ni maarufui pia , huenda siku moja nikataka kugombea JF President naweza kushinda kwani sitakuwa na haja ya kufanya kampeni kwani hizi ni kampeni tosha.
Kuna wachache ambao nawaamini wananijua,ila wapo wengi sana wanataka kunijua kuwa mimi ni nani itawachukua karne nyingine moja sasa sijui nitakuwa kikongwe sana maana mpaka sasa nimezeeka kiasi.
Ninaishi nje ya dunia ila nina mawasiliano ya karibu sana na duniani kwani niliwahi kuishi humo zamani za kale.
Anayetaka kunifahamu sharti awe na uwezo wa kuishi nje ya dunia na ndani ya Ardhi....
Yawezekana mimi ni maarufui pia , huenda siku moja nikataka kugombea JF President naweza kushinda kwani sitakuwa na haja ya kufanya kampeni kwani hizi ni kampeni tosha.
Kuna wachache ambao nawaamini wananijua,ila wapo wengi sana wanataka kunijua kuwa mimi ni nani itawachukua karne nyingine moja sasa sijui nitakuwa kikongwe sana maana mpaka sasa nimezeeka kiasi.
Ninaishi nje ya dunia ila nina mawasiliano ya karibu sana na duniani kwani niliwahi kuishi humo zamani za kale.
Anayetaka kunifahamu sharti awe na uwezo wa kuishi nje ya dunia na ndani ya Ardhi....
Mhhh.. mpaka kieleweke mbona watutisha? anyway umenikumbusha hadithi za maluhani!
Yawezekana mimi ni maarufui pia , huenda siku moja nikataka kugombea JF President naweza kushinda kwani sitakuwa na haja ya kufanya kampeni kwani hizi ni kampeni tosha.
Kuna wachache ambao nawaamini wananijua,ila wapo wengi sana wanataka kunijua kuwa mimi ni nani itawachukua karne nyingine moja sasa sijui nitakuwa kikongwe sana maana mpaka sasa nimezeeka kiasi.
Ninaishi nje ya dunia ila nina mawasiliano ya karibu sana na duniani kwani niliwahi kuishi humo zamani za kale.
Anayetaka kunifahamu sharti awe na uwezo wa kuishi nje ya dunia na ndani ya Ardhi....
Halafu FYI msimamo wangu hapa kukataa watu kutajana majina umekuwa wazi kabisa kama umekuwa mfuatiliaji. Nimejitokeza kukemea watu wakijaribu kubashiri nani ni nani! So its not the first time, sijaanzia na mpaka kieleweke. Labda lapekee hapa ni kuwa safari nimefungua thread kabisa kukanusha. Ni kutokana na uzito wa Bwana Mbowe kama Mwenyekiti wa CHADEMA. Ilipokuwa kwa Kitila na wengine nilisema tu katika thread ya mtu aliyezua huo uzushi tu.
As far As I am concerned, message delivered, case closed, I am out on this
Nawakatika mjadila mwema, tujifunze kujadili issues badala ya persons!