Mpaka Kieleweke Si Mbowe

Status
Not open for further replies.
Wapo walioajiriwa humu mtandaoni kazi yao kujua nani kazungumza nini na wamjibuje? Hao ni kundi la kwanza. Wale ambao hawaoni umuhimu wa kutafuta hoja mtandaoni bali kutafuta nani kaandika nini nao hawatakosekana.

Unajua unapoandika maneno unahitaji kufikiri unachosema, kwa sababu hapa unajaribu kupotosha ukweli kwa makusudi, mimi kilichosemwa ni very simple kuwa hatutaki hoja za ID lines, lakini anayetaka hakuna tatizo ajaribu tu, haya unayosema sio kweli, kwa sababu yangekuwa kweli basi toka hii forum ianze tungesikia kuna waliokamatwa au kufungwa!

Endeleeni kutuchunguza tu!!!
Mliotumwa; Pelekeni habari zetu kwa mabwana zenu waliowatuma!!!!!!!!!
Mlikuja kushangaa: endeleeni kushangaa mpaka mchoke!!!!!!!!!!!!!

again sio kweli, ukweli ni kwamba labda unajichunguza mwenyewe na unawafahamisha mabwana zako, hapa hatutaki kuwatisha watu kuwa kuna watu wa kuchunguza wengine sio ukweli hata kidogo, kwamba eti kuna wakukushangaa sijui ni kwa hoja ipi hiyo?

Tunarudia tena kuwa tunataka kujadili ishu za taifa kwa kuheshimiana na asiyetaka, hakuna tatizo tutawajibu kwa lugha wanazo onekana kuzielewa vizuri, that is all hatushii mtu hapa wala hatutishani, ila tunaambiana ukweli.

Ahsante Mkuu!
 
ovyo??
Kuna waandishi wa udaku wanachukua pia hoja za watu mbalimbali humu wanazifanya stori, wanazidi kupotosha wananchi.
Wamefanya mpaka magazeti yamekuwa source ya current udaku na umbea.
sio cahnzo cha habari za kueleweka na zenye tija.
Ndio hao wameingia humu, wanataka kujua 'nani kafanya nini' na siyo nini kimefanyika.
 
Now hapo unaongelea haki za umiliki wa habari, lakini kwa sababu hii ni opne to the public sidhani kama kuna tatizo na watu kuja hapa kuchukua habari kwa sababu hii forum sio ya udaku, sasa kama kuna wanaokuja kuchukua habari hapa basi ni vyema sana kama wanazisambaza kwa wananchi si ndio tunachotaka au?
 
Kuhama kwa hii topic hakubadili anything, msimamo ni ule ule tu, kama ni vitisho aulizwe aliyeanzisha topic, mimi msimamo wangu very clear, ukicheza nitakuchezea tu, hatishwi mtu hapa,

Vitisho uache wewe mkuu, naona umeshukuru imahama labda next time utajifunza tabia za kurukia watu usiowajua, bila kuwa na ukweli. Lakini eti mimi nitatishika na wewe hata siku moja! Ninashukuru tu kuwa nimekuelewa mapema rangi zako, ndio imetoka hiyo salaam zao! Maana sisi binadamu wengine huwa tunajifunza mara moja tu hatusubiri mara mbili.

Es Sauti Ya Umeme

Asante mheshimiwa Sauti ya Umimi!

Asha
 
Mtu ukishambuliwa bila makosa ni wajibu kujibu mapigo, sasa kinachoamua ni hoja na ukweli tu,

In the process tumeihakikishia forum kuwa sio lazima kuwa na majina mengi kwa hoja ya mtu hapa kuonekana ilipo, kinachotakiwa ni ukweli tu ambao siku zote ndio tunausimamia.
 
Mtu ukishambuliwa bila makosa ni wajibu kujibu mapigo, sasa kinachoamua ni hoja na ukweli tu,

In the process tumeihakikishia forum kuwa sio lazima kuwa na majina mengi kwa hoja ya mtu hapa kuonekana ilipo, kinachotakiwa ni ukweli tu ambao siku zote ndio tunausimamia.

Haya! Kwani nani kakwambia kwamba una majina mengi? Au unajishuku!

Asha
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom