Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
nani anayetaka kujua nani ni nani? Huu mtindo wa kujaribu kufuatilia hoja baada ya kujua msemaji ni nani unapoteza sana ladha ya hoja. Maana unasoma hoja huku ukiwa na preconceived ideas na prejudice tayari.. kumbe unayemfikiria ndiye kumbe siye!
Kweli bwana! Walizidi hawa kila siku mpaka kieleweke ndio Mbowe, mpaka kieleweke ni Mbowe mpaka watu wataelewa kuwa ni ukweli. Naona haja Jmushi nae amedakia huu uzushi na sasa ameanza kutazama mtu badala ya hoja.
Mod, mko wapi mkemee hii hali?
Asha
Kweli bwana! Walizidi hawa kila siku mpaka kieleweke ndio Mbowe, mpaka kieleweke ni Mbowe mpaka watu wataelewa kuwa ni ukweli. Naona haja Jmushi nae amedakia huu uzushi na sasa ameanza kutazama mtu badala ya hoja.
Mod, mko wapi mkemee hii hali?
Asha
nani anayetaka kujua nani ni nani? Huu mtindo wa kujaribu kufuatilia hoja baada ya kujua msemaji ni nani unapoteza sana ladha ya hoja. Maana unasoma hoja huku ukiwa na preconceived ideas na prejudice tayari.. kumbe unayemfikiria ndiye kumbe siye!
Bwana FMES yeye ameanzisha Mpaka Kieleweke ni Mbowe.
Jamani, kuna principle moja hapa ambayo hatuna budi kuiheshimu sana. Kama mtu anataka kutumia jina lake yuko huru kufanya hivyo na hawezi kulazimishwa vinginevyo na mtu yeyote. Kama mtu hataki kutumia jina lake hata akutukane vipi hilo ni lwake na wewe ukitaka kumtukana umtukane kwa jina alilokutukania (na wote wawili suffer the consequences of your actions).
Kama wewe umetangaza jina lako na watu wanakutukana kukujibu kwa jina hilo huo ni uchaguzi wako. Kama humjui mtu unayejibizana naye na hauna jinsi ya kujua yeye ni nani, usianze kumbambikizia majina ya watu wengine kwa kufanya hivyo unaweza kuharibu sifa za watu wengine kwa sababu ya wewe kujaribu kuscore point.
Kama hutaki kuitwa kwa jina lako na inakusumbua kwa sababu watu wanakujua, the choice is very simple!...
lakini haya ya kupachika watu majina yasiyokuwa ya kwao ili uonekane unawajua siyo tu ni makosa ya hapa lakini ni kinyume na vipengele vyote vya uungwana kwani unaweka jina, hadhi, sifa ya mtu yeyote matatani.
Binafsi labda naweza kudai nawajua wengi hapa kwa majina yao halisi na nafasi zao wale hata ambao hawajui kuwa nawajua. Hata siku moja sijaashiria kuwa nawajua, au ninapojibizana nao kuwataja hata kama tuko kwenye msimamo tofauti au wananirushia madongo (wakiamini siwajui). Kwanini? naheshimu chaguo lao la kuwa anonymous na ninalilinda to the penalty of relevant judicial sanctions.
Vinginevyo, kama unamjua mtu fulani ni fulani hapa JF kaa nayo wewe mwenyewe!
Jamani, kuna principle moja hapa ambayo hatuna budi kuiheshimu sana. Kama mtu anataka kutumia jina lake yuko huru kufanya hivyo na hawezi kulazimishwa vinginevyo na mtu yeyote. Kama mtu hataki kutumia jina lake hata akutukane vipi hilo ni lwake na wewe ukitaka kumtukana umtukane kwa jina alilokutukania (na wote wawili suffer the consequences of your actions).
Kama wewe umetangaza jina lako na watu wanakutukana kukujibu kwa jina hilo huo ni uchaguzi wako. Kama humjui mtu unayejibizana naye na hauna jinsi ya kujua yeye ni nani, usianze kumbambikizia majina ya watu wengine kwa kufanya hivyo unaweza kuharibu sifa za watu wengine kwa sababu ya wewe kujaribu kuscore point.
Kama hutaki kuitwa kwa jina lako na inakusumbua kwa sababu watu wanakujua, the choice is very simple!...
lakini haya ya kupachika watu majina yasiyokuwa ya kwao ili uonekane unawajua siyo tu ni makosa ya hapa lakini ni kinyume na vipengele vyote vya uungwana kwani unaweka jina, hadhi, sifa ya mtu yeyote matatani.
Binafsi labda naweza kudai nawajua wengi hapa kwa majina yao halisi na nafasi zao wale hata ambao hawajui kuwa nawajua. Hata siku moja sijaashiria kuwa nawajua, au ninapojibizana nao kuwataja hata kama tuko kwenye msimamo tofauti au wananirushia madongo (wakiamini siwajui). Kwanini? naheshimu chaguo lao la kuwa anonymous na ninalilinda to the penalty of relevant judicial sanctions.
Vinginevyo, kama unamjua mtu fulani ni fulani hapa JF kaa nayo wewe mwenyewe!
yaani wewe baba yako hadi mbowe anamfahamu.. duh! tuna watoto wa wakubwa humu!
Mushi1,'
Jasusi ni mimi, na si mwingine. Ila imeshabainika kuwa nina undugu na marehemu Ballali, hilo siwezi kulikwepa. Lakini bottom line ni kwamba tupo hapa kukata issues. Period. Tuachane na personalities, ingawa mara moja moja haziwezi kuepukikwa.
FMES,
Wazungu wanasema better late than never. Labda sasa umuhimu wa kutotajwa majina umeonekana zaidi ya ilivyokuwa hapo awali. Au?