Mpaka India Wahindi wanamkubali Rais Magufuli

Mpaka India Wahindi wanamkubali Rais Magufuli

Sure hilo ni kweli.maana kama si kikwete kumkata lowassa na kutaka membe awe rais tusingempata magufuli.leo hii tunashukuru madudu ya kikwete ndo yametuletea jembe hili.maana kikwete aliharibu nchi kwa kweli.

madawa ya kulevya,ufisadi na mambo mengine ya hovyo.ambayo hayo ndo yamesababisha apatikane magufuli.so huwa namwelewa anaposema bila kikwete tusingempata yeye.kikwete alipaswa kufungwa au kuchomwa moto kabisa.basi tu
Hahahaha.
Nadhani wakati anaipokea nchi Kikwete labda ulikuwa kwenye nepi bado, hutoweza kuelewa ilikiwa inabidi twende Kenya kwanza kabla ya kufika Mwanza na Kagera.

Tunaelewa vitoto vingi humu, hamtupi shida.
 
Yano wewe kituko kweli sasa nizungumze kuhus Moors ambayo historia yao nimeisoma sana nishindwe kuwataja?
Mimi nilikuwa nazungumza kuhusu Wamoroco wanaoitwa (MARTOMORO) na si moors.
Kutokana na invasion zilizofanywa na Muslim armies miaka hiyo hawa jamaa wamebahatika kubakia Spain wameanzishiwa kitu kinaitwa
"Punish a Muslim Day" and "Muslim Slayer"

Crusade sijasema kokote imeisha umeghafirika nadhani
Hizo porojo peleka kwengine. Nimeshakwambia huelewi unachokiandika.

 
Katika dunia hii hakuna watu nawachukia kama hiyo mitakataka ya India na Philipine,ni wabaguzi sana kuliko wazungu
Wewe kwa kuwachukia unaonesha kuwa ni mbaguzi wa kwanza.

Ulitaka wakuoe ndiyo uone si wabaguzi?
 
Ni kweli kuwa ukizeeka sana unakuwa na akili za kitoto.sikushangai kwa haya unayosema.wakati magufuli anapokea nchi ndege zilikuwa zimeshakufa sasa nadhani tuna ona maendeleo.

Wakati magufuli anapokea nchi Madawa ya kulevya yalikuwa shughuli ililoyahalalishwa nchini kila sehemu kuna mateja.sisi tuliokuwa tulisafiri nje ya nchi tulipojulikana ni from TZ WATU WALIANZA KUTUANGALIA MARA MBILIMBILI

Wakati wa Kikwete ufisadi mkubwa sana ulikuwa ukifanyika nchini na alikiri yeye hawezi washughulikia mafisadi sababu ni jamaa zake watamyumbisha.walikuwa wakifisadi pamoja. Sasa magufuli anawaweka ndani.

Kikwete aliharibu uchumi wa nchi hii watu wakawa wanashinda tu vibarazani na vijiweni wakicheza bao na karata huku wakitegemea pesa za madawa ya kulevya.

Sasa nchi imenyooka. Tunaheshimika.thamani ya pesa ipo .watu wanamkubali mh rais. Kwenye mitaa ccm imeshinda kwa asilimia 99.9 haijawahi kutokea. Tuna rais msomi na mchapa kazi.siyo kilaza vasco da gama ambaye angekuwa na genge lake la walaji wa kodi zetu.

Viva magufuli. Viva.

Hahahaha.
Nadhani wakati anaipokea nchi Kikwete labda ulikuwa kwenye nepi bado, hutoweza kuelewa ilikiwa inabidi twende Kenya kwanza kabla ya kufika Mwanza na Kagera.

Tunaelewa vitoto vingi humu, hamtupi shida.
 
Legitimacy katika siasa ni kitu cha muhimu sana. Ukiikosa ni lazima utapata tabu sana. Ndio yanayotokea. Waswahili wanasema "chema chajiuza, kibaya chajitembeza".
 
Hizo porojo peleka kwengine. Nimeshakwambia huelewi unachokiandika.


Ubishi mwiiiiingi ukidhani u mjuzi sana.

The Moor in Africa and Europe...origins and definitions

IT is generally assumed that the movement of Africans into Europe, in significantly large numbers and into positions of real power, did not occur until the Muslim invasion of Spain in 711 AD.
In AI-Makkary’s History of the Mohammedan Dynasties in Spain, however, we learn of a great drought that afflicted Spain about three thousand years ago, a catastrophe that was followed not long afterwards by an invasion from Africa.
This, of course, had nothing to do with the medieval Moors, with which this book is primarily concerned, but it is worth noting here because it actually established an ancient African dynasty in Spain, a fact that is omitted from the official histories.
The drought that devastated Spain, however, is described by a number of Spanish historians.
Pedro de Medina in Libra de las Grandezas de Espana, published in Seville in 1549, dates the drought at 1070 BC. Ibn-1-Khattib AIMakkary (in his major historical work, translated by Pascual de Gayangos 1 ) describes it in some detail.
It is AI-Makkary, also, who informs us of how, Africans banished from North Africa by an African king against whom they revolted, entered Spain and took control of that country.
The leader of the Africans is recorded as Batrikus. What his original name was, we do not know but it survives as Batrikus in the Latin of the Romans because it was the Romans who defeated these Africans 157 years later.
These Africans first set anchor at a place on the western shore of Spain and settled at Cadiz. Advancing into the interior of the country, they spread themselves about; extended their settlements, built cities and towns and increased their numbers through marriage.
They settled in that part of the country between the place of their landing in the west, and the country of the Franks in the east, and appointed kings to rule over them and administer their affairs.

Read more:www.thepatriot.co.zw
 
Waislamu ni wadharimu sana na ulivyokuwa hujielewi unafurahia hadi invasion walizozifanya kwenye ardhi ya baba yako na mama yako 😢.

The Rosary Dealt a Crushing Defeat to the Muslims at the Battle of Lepanto...

Story of the Battle of Lepanto...

Almost from the very beginning of Islam, there were wars upon wars between Christians and Muslims. We remember the Crusade wars, seven major and several minor, which lasted for centuries. This is the story of the Battle of Lepanto, which marked the end of the Crusades and was a turning point in the history of Christianity.

Charles Martel's victory at Poitiers definitely stopped the Moslem invasion of western Europe. In the east Christians held firm against attacks of the Muslims until 1453. In that year, Mohammed II threw huge assaults against Constantinople and by the evening of May 29 the Byzantine capital fell. By 1571 the Muslims were firmly installed in Europe. Their ships ruled the Mediterranean Sea from the Strait of Bosporus to the Strait of Gibraltar and constantly preyed on Christian vessels unless they flew the French flag.

Pope Pius V, in the last year of his papacy in 1571, tried to rally the nations of Europe to join in a Holy League to stop and roll back the Moslem enemy which threatened the entire continent. Spain, whose King Philip II was also King of Austria, responded favorably. The Muslims were then engaged in the conquest of Cyprus, an island belonging to the Republic of Venice.

Leading Venetian officials would have preferred to have worked out some peaceful-coexistence agreement with the Sultan, but under the crusading influence of Saint Pius V, they decided to join the Holy League along with the republics of Genoa and Lucca and the dukes of Savory, Parma, Ferrara and Urbino.

The Papal fleet was of course part of the Holy Alliance. Pius V asked Philip to appoint Don John of Austria, the 25-year old son of Emperor Charles V, as commander-in-chief of a planned expedition against the Muslims. After receiving the banner of the Holy League from the Pope, through Cardinal Granvalla, Don John's fleet set sail from Genoa for Naples on June 26, 1571.

Few historians mention that just before the departure, Philip II presented Don John with a picture of Our Lady of Guadalupe which she had caused to be miraculously imprinted on the cloak of the Indian peasant Juan Diego in Mexico 40 years before. Don John placed the picture in the chapel of the admiral-vessel, the Genoese John Andrew Doria, asking for Mary's protection of his expedition.

On September 16, the Christian fleet put to sea. Don John anchored off of Corfu where he learned that the Muslims had leveled entire towns and villages and then retreated to the coast of Lepanto in the Gulf of Corinth.

At dawn on October 7, at the entrance to the Gulf of Patras, the Christian and Moslem fleets finally came face to face for the battle of Lepanto.

The wind and all military factors favored the Muslims, but Don John was confident. He boarded a fast ship for a final review of his fleet. He shouted encouraging words to the men and they shouted back. After Don John returned to his own position, the wind mysteriously changed to the advantage of the Christian fleet. First-hand witnesses wrote about this moment as a most dramatic turn-of-events resulting from an "unknown factor".

At that very moment, at dawn on October 7, 1571-- as Vatican Archives later revealed--Pope Pius V, accompanied by many faithful, was praying the Rosary in the Basilica of Santa Maria Maggiore. From dawn to dusk the prayers continued in Rome as the Christians and the Muslims battled at Lepanto. When it was all over the Muslims had been defeated. Of some 270 Moslem ships, at least 200 were destroyed. The Turks also lost 30,000 men while Christian casualties numbered between 4,000 and 5,000.

The Rosary had won a great military victory. Like all truly great military leaders who hate war and love peace, Don John retired after his victory at Lepanto. He died a few years later at the age of 31. Another who took part in the great battle of Lepanto, Miguel de Cervantes, lived longer to write his famous tribute to Christian chivalry, Don Quixote.
 
Hahahaha.
Nadhani wakati anaipokea nchi Kikwete labda ulikuwa kwenye nepi bado, hutoweza kuelewa ilikiwa inabidi twende Kenya kwanza kabla ya kufika Mwanza na Kagera.

Tunaelewa vitoto vingi humu, hamtupi shida.
Humu kumejaa watoto wa smartphone na facebook, walioanza kutambaa baada ya Mzee Mwinyi kuondoka ikulu.
 
Ubishi mwiiiiingi ukidhani u mjuzi sana.

The Moor in Africa and Europe...origins and definitions

IT is generally assumed that the movement of Africans into Europe, in significantly large numbers and into positions of real power, did not occur until the Muslim invasion of Spain in 711 AD.
In AI-Makkary’s History of the Mohammedan Dynasties in Spain, however, we learn of a great drought that afflicted Spain about three thousand years ago, a catastrophe that was followed not long afterwards by an invasion from Africa.
This, of course, had nothing to do with the medieval Moors, with which this book is primarily concerned, but it is worth noting here because it actually established an ancient African dynasty in Spain, a fact that is omitted from the official histories.
The drought that devastated Spain, however, is described by a number of Spanish historians.
Pedro de Medina in Libra de las Grandezas de Espana, published in Seville in 1549, dates the drought at 1070 BC. Ibn-1-Khattib AIMakkary (in his major historical work, translated by Pascual de Gayangos 1 ) describes it in some detail.
It is AI-Makkary, also, who informs us of how, Africans banished from North Africa by an African king against whom they revolted, entered Spain and took control of that country.
The leader of the Africans is recorded as Batrikus. What his original name was, we do not know but it survives as Batrikus in the Latin of the Romans because it was the Romans who defeated these Africans 157 years later.
These Africans first set anchor at a place on the western shore of Spain and settled at Cadiz. Advancing into the interior of the country, they spread themselves about; extended their settlements, built cities and towns and increased their numbers through marriage.
They settled in that part of the country between the place of their landing in the west, and the country of the Franks in the east, and appointed kings to rule over them and administer their affairs.

Read more:www.thepatriot.co.zw
Sasa ulikuwa unabisha nini? Waarabu ulikuwa huwajui na bado hujawajuwa. Reference nilizokupa zinakusaidia utawaelewa tu.

Nitaemdelea kukupa darsa mpaka utaelewa kuwa Waarabu ni Waafrika na Uarabu siyo rangi wala kabila wala nchi.

Na Allah alipoamua Qur'an iwe kiarabu nao ni muujiza mkubwa mpaka uchimbe kidogo ndiyo utauelewa tena siyo kwa elimu zenu za kujazwa ujinga.
 
Waislamu ni wadharimu sana na ulivyokuwa hujielewi unafurahia hadi invasion walizozifanya kwenye ardhi ya baba yako na mama yako 😢.

The Rosary Dealt a Crushing Defeat to the Muslims at the Battle of Lepanto...

Story of the Battle of Lepanto...

Almost from the very beginning of Islam, there were wars upon wars between Christians and Muslims. We remember the Crusade wars, seven major and several minor, which lasted for centuries. This is the story of the Battle of Lepanto, which marked the end of the Crusades and was a turning point in the history of Christianity.

Charles Martel's victory at Poitiers definitely stopped the Moslem invasion of western Europe. In the east Christians held firm against attacks of the Muslims until 1453. In that year, Mohammed II threw huge assaults against Constantinople and by the evening of May 29 the Byzantine capital fell. By 1571 the Muslims were firmly installed in Europe. Their ships ruled the Mediterranean Sea from the Strait of Bosporus to the Strait of Gibraltar and constantly preyed on Christian vessels unless they flew the French flag.

Pope Pius V, in the last year of his papacy in 1571, tried to rally the nations of Europe to join in a Holy League to stop and roll back the Moslem enemy which threatened the entire continent. Spain, whose King Philip II was also King of Austria, responded favorably. The Muslims were then engaged in the conquest of Cyprus, an island belonging to the Republic of Venice.

Leading Venetian officials would have preferred to have worked out some peaceful-coexistence agreement with the Sultan, but under the crusading influence of Saint Pius V, they decided to join the Holy League along with the republics of Genoa and Lucca and the dukes of Savory, Parma, Ferrara and Urbino.

The Papal fleet was of course part of the Holy Alliance. Pius V asked Philip to appoint Don John of Austria, the 25-year old son of Emperor Charles V, as commander-in-chief of a planned expedition against the Muslims. After receiving the banner of the Holy League from the Pope, through Cardinal Granvalla, Don John's fleet set sail from Genoa for Naples on June 26, 1571.

Few historians mention that just before the departure, Philip II presented Don John with a picture of Our Lady of Guadalupe which she had caused to be miraculously imprinted on the cloak of the Indian peasant Juan Diego in Mexico 40 years before. Don John placed the picture in the chapel of the admiral-vessel, the Genoese John Andrew Doria, asking for Mary's protection of his expedition.

On September 16, the Christian fleet put to sea. Don John anchored off of Corfu where he learned that the Muslims had leveled entire towns and villages and then retreated to the coast of Lepanto in the Gulf of Corinth.

At dawn on October 7, at the entrance to the Gulf of Patras, the Christian and Moslem fleets finally came face to face for the battle of Lepanto.

The wind and all military factors favored the Muslims, but Don John was confident. He boarded a fast ship for a final review of his fleet. He shouted encouraging words to the men and they shouted back. After Don John returned to his own position, the wind mysteriously changed to the advantage of the Christian fleet. First-hand witnesses wrote about this moment as a most dramatic turn-of-events resulting from an "unknown factor".

At that very moment, at dawn on October 7, 1571-- as Vatican Archives later revealed--Pope Pius V, accompanied by many faithful, was praying the Rosary in the Basilica of Santa Maria Maggiore. From dawn to dusk the prayers continued in Rome as the Christians and the Muslims battled at Lepanto. When it was all over the Muslims had been defeated. Of some 270 Moslem ships, at least 200 were destroyed. The Turks also lost 30,000 men while Christian casualties numbered between 4,000 and 5,000.

The Rosary had won a great military victory. Like all truly great military leaders who hate war and love peace, Don John retired after his victory at Lepanto. He died a few years later at the age of 31. Another who took part in the great battle of Lepanto, Miguel de Cervantes, lived longer to write his famous tribute to Christian chivalry, Don Quixote.
Hao crusaders ni wauwaji.

Muislam hapigani mpaka aanzwe ma kupigana kwake.ni "self defence" na kulipa kisasi tu. Kumbuka hilo.


Nafahamu huu uzi unawauma sana. Hususan wewe, mpaka unafanya kila njia kuibadili mada. Lakini twende tu, bado hujanielewa.

Hizo ulizoleta ni porojo za kujazwa ujinga.

Kama u mwanamme kweli fungua uzi anzisha mada nijenkukupa za uso hukohuko.

Hapo sasa. Tuone huyu ni kaka poa ua kidume kitachobeba challenge.
 
Humu kumejaa watoto wa smartphone na facebook, walioanza kutambaa baada ya Mzee Mwinyi kuondoka ikulu.

Ni wale waliojazwa mitandaoni na kina Mbowe, wanafikiri hatuwajuwi.

Si unakumbuka wale walibambwa nyumba nzima wakati wa kampeni za 2015? Ndiyo mabaki haya na wameajiri wengine.
 
Ni wale waliojazwa mitandaoni na kina Mbowe, wanafikiri hatuwajuwi.

Si unakumbuka wale walibambwa nyumba nzima wakati wa kampeni za 2015? Ndiyo mabaki haya na wameajiri wengine.
Kwa Magufuli waandike maumivu. Kuna yule bosi mmoja wa ile benki iliyopo pale posta mpya, alicheza mchezo wa kutaka kuingiza nchini pesa fulani nyingi ili ije kutumika mwakani kwenye kampeni ya kumtoa Ngosha magogoni, aliposhtukiwa siku ile ile akapewa barua ya bye bye.
 
Kwa Magufuli waandike maumivu. Kuna yule bosi mmoja wa ile benki iliyopo pale posta mpya, alicheza mchezo wa kutaka kuingiza nchini pesa fulani nyingi ili ije kutumika mwakani kwenye kampeni ya kumtoa Ngosha magogoni, aliposhtukiwa siku ile ile akapewa barua ya bye bye.
Acha tu hawa watoto wachezee wembe ukiwakata watauelewa.
 
If you think that in this world someone will just come and gift you their technology, you must be out of your mind. Who will ever do that?


If they ever gave to our Zanzibar neghbours the cheap and best technology, if indeed it is, to combat rodents, why then not possible for them to give us new technologies even those outdated ones??🤣🤣
 
Hao si akina Kumar wa mtaa wa Libya pale kkoo, acha wamkubali si wanakaa kwenye nyumba zetu za NHC kwa Bei za kutupwa🤣🤣🤣🤣🤣
India nzima yamkubali JPM....Habari kubwa katika gazeti la HABARILEO

Gazeti la Lajiji limeandika...JPM hakunaga, wahindi waamua kuunga mkono msimamo wake

Gazeti la Tanzanite lkmeandika...Kasi ya Magufuli yatua India..wamtamani ainyooshe nchi yao

Jamvi la habari wameandika....Kasi ya JPM kutoka Tanzania mpaka India. Yapaa kwa kasi ya Jeti, Ulaya nako wampa mwaliko
 
Hiyo ulidanganywa. Kariakoo kuna sewer system tokea enzi za utawala wa Muingereza. Usicheze na Kariakoo wewe, huijuwi.

Wakuja mnajulikana tu. Hiyo huko mlipo, madongo kuporomoka, halafu mkipigiwa simu kutoka vijijini kwenu na wajomba zenu mnajidai "tupo Dar mjini", ukiulizwa mjini sehemu gani? "KIMARA". Toka lini kimara ikawa mjini?
Samahani sister usitutukane tunao ishi kimara
 
Back
Top Bottom