Hahah kubwa zima likikabwa lina anza kulia lia eti Magufuli,Magufuli hana muda hata na JF ujue.Wa ku "paniki" FaizaFoxy kwa hicho kinyangarakata?
Unanisoma kwa uoga nini?
Nyundo za Magufuli zinawaingia viziri sana, mpaka duniani huko wanamsifia tu.
Nawaona mliopaniki ni nyinyi.
Wakate yote.Ulitaka ukatwe 2,000?mbona bia unakunywa mpaka za laki hulalamiki
malizia na Faiza foxy kafungua threadIndia nzima yamkubali JPM....Habari kubwa katika gazeti la HABARILEO
Gazeti la Lajiji limeandika...JPM hakunaga, wahindi waamua kuunga mkono msimamo wake
Gazeti la Tanzanite lkmeandika...Kasi ya Magufuli yatua India..wamtamani ainyooshe nchi yao
Jamvi la habari wameandika....Kasi ya JPM kutoka Tanzania mpaka India. Yapaa kwa kasi ya Jeti, Ulaya nako wampa mwaliko
I was inclined to respond to the entirety of your posting, but those few words quoted above proved irresistible for a short response.I have a feeeling you are heartily hurting by laughing at what you depict as my "joke", or is it crying? Yours is empirical pathetic, not even emotional.
Kumbe hata hii mada haufahamu inamuongelea nani?Hahah kubwa zima likikabwa lina anza kulia lia eti Magufuli,Magufuli hana muda hata na JF ujue.
Vipi ulipona bawasiri?
Amuse yourself young man, only One knows me more and better. You've guessed it, that is if you know even a tiny bit about me. It has never been a secret.I was inclined to respond to the entirety of your posting, but those few words quoted above proved irresistible for a short response.
Indeed, I was and am still "heartily (hurting?) laughing at the 'joke'"
It is good to get to know you better.
Hivi mungu si ndio anaongoza malaika ? So jamaa alitamani aachiwe kijiti na mungu ?Mbinguni pia wanamkubali! Wanataka awe kiongozi wa malaika
Haven't you notice that the video is made by people from CCM ?Judging from their language and lack of knowledge of what 'research' entails, it is fair to conclude that these fellows are minimally literate:
- 'AFRICANS' MOST BELOVED PRESIDENT..., and yet they simply looked at Tanzania, if indeed they researched on African Presidents
- their President is very 'free style' president", whatever that means..."that we have 'never' seen before in any other country. Is this a compliment or is it a sarcastic dongo? It appears they are hilariously enjoying that joke!
Well,was their research focused on finding an African leader with this particular attribute in exclusion of all other leadership qualities?
- how about a "president with principles 'without any haters'" Do you still believe these Indians are worth of regard?
I very much understand the drive behind the need for sharing of such a joke; especially by the 'dedicated, diehard self declared CCM member.
Ati "Hiki ni kitu cha kujivunia sana watanzania"! Itabidi uwadanganye wasioelewa.
But, alas, wouldn't one wonder about our own illiterates? Just sit back and enjoy the comedy.
Finally, now that we know we have 'lovers' from the 'Mbaazi' eating friends, will our farmers exploit that market to the full extent possible!
We BIBI nilikua najiuliza kwanini watu hawakupendi humu,leo nimejua"Asiye fanya kazi na asile" - Magufuli.
"Makali ya maisha" yako ulitaka mhindi aje kukutatulia?
Nnkushauri dada kama una fikra hizo tafuta tu mume wa kihindi.
Yani unajengwa msikiti kwa heshima ya magu ambaye sio muislamuDr Magufuli ni Rais wa kwanza barani Afrika kukubalika na jamii ya dunia nzima kuanzia Wachina, Wazungu, Wahindi, Waafrika, Wayahudi na Waarabu ndio usiseme kila siku wanapishana pale Ikulu hadi wanajenga msikiti mkubwa pale Dodoma kwa heshima ya John Magufuli!
The pretty part of it all is that, every little posting made on to this public forum is a tiny revelation of oneself.Amuse yourself young man, only One knows me more and better. You've guessed it, that is if you know even a tiny bit about me. It has never been a secret.
Thanks, but how can it be!Haven't you notice that the video is made by people from CCM ?
Hahahahahaha.We BIBI nilikua najiuliza kwanini watu hawakupendi humu,leo nimejua
Una tatizo mahali fulani kwenye hicho kichwa most likely ni kwa sababu ya kukifunga muda wote so ubongo haupumui ili kutoa mawazo machafu
Hahahahahaha.We BIBI nilikua najiuliza kwanini watu hawakupendi humu,leo nimejua
Una tatizo mahali fulani kwenye hicho kichwa most likely ni kwa sababu ya kukifunga muda wote so ubongo haupumui ili kutoa mawazo machafu
We are the future history. CCM.Those are mere cooked campaigns.
Even Pharaoh was cherished.