Mpaka India Wahindi wanamkubali Rais Magufuli

Mpaka India Wahindi wanamkubali Rais Magufuli

Ni wale waliojazwa mitandaoni na kina Mbowe, wanafikiri hatuwajuwi.

Si unakumbuka wale walibambwa nyumba nzima wakati wa kampeni za 2015? Ndiyo mabaki haya na wameajiri wengine.

Mh.Rais naomba usiwasahau wana kitengo cha propaganda waliokua wanakupigania mtandaoni kwenye uchaguzi wa 2015-Kikwete.
 
Ni wapumbavu pekee ndio waliokuwa wanamkubali huyo marehemu....mmefanikiwa step ya kwanza, nendeni Na step ya pili Ila sidhani, mwenyezimungu humpa riziki amtakae Na humkadiria .
 
Pakusifuwa nilimsifia pakupondwa nilimponda.

Sina unafik wa kikondoo.
 
Back
Top Bottom