Ndio Dada nilifanikiwa kujifungua salama mwezi Disemba alhamdulillah mtoto mzuri wa kiume,
Mume bado hajarudi na hata kumuona mtoto hajaja, niliacha kulia sasa nina furaha na amani kila nikimuangalia Simba wangu ananipa sana nguvu na ujasiri,
Allah anikuzie kwenye maadili mema, amiin